Diamond kaniponza jamani

Ndo manake!
Sredi ako klosed!
Ulikuwa absentee leo kipindi cha kwanza!
Maelezo yasiyopungua full scape Tatu.
Angalizo!
Mwandiko wa Asprin naujua.ole wako akuandikie

Mwalimu wangu snowhite! Ntayaleta maelezo ila utaniwia radhi yataambatana na koni chocolate tatu pia...kila page na koni yake!
Love u my teacher!
Asprin hata simwambii
 
Last edited by a moderator:
mamy ndo zao hizo.. hata ss tuko hivyo.. akianza kumsifia mwanamke pia tunakuwaga wakali mnoo.. so ngoma drooo.. usikasirike mwaya
 
Yaaan namuona ana mambo ya kitoto kweli,duuuu ctarudia tena kumbe ni hatari mm nilikua cjui

Hahahahaaa
Sio mambo ya kitoto Hata Mimi demu wangu amsifie kidume mwenzangu mbele yangu lazima kinuke tu!!

Imagine Yeye angesifia maungo/shape ya Rihhana iko bomba zaidi ya madem wote !! Usinge wala wewe????? Hahahahaaa
 
Hata mimi ningekuchangia sasa mpira na Daimond wapi na wapi bora hata mngemsifia mrisho ngassa.
 
Wanaume hatupendi wake zetu wasifie wanaume wengine mbele zetu ni dharau kubwa sana, siku nyingine uchune tu acha kusifia wanaume mbele ya mume wako
 
Wivu ni kitu cha kawaida. Epuka kusifia sifia wanaume mbele ya mmeo
 
umemsifia dada mond mbele ya anaekuweka mjini umebugi
 
Fala huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…