greybakuza
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 897
- 1,276
Umesahau zile tuzo tatu za Afrima!!?Samahani ndugu lini aliwahi kuwazidi davido na wizkid?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesahau zile tuzo tatu za Afrima!!?Samahani ndugu lini aliwahi kuwazidi davido na wizkid?
umemalizaHata kama humpendi mtu lkn si kwa uongo huo, show Madagascar uliyoina au unaleta ushabiki, toka mwezi wa sita mpaka wanane jamaa kapiga show zaidi ya 20, hapo bado ana show Namibia mwezi huu, haya mwisho angalia ktk tamasha la one ambalo limejaa A list wa Africa Diamond yupo miji yote. Hivi ushajiuliza kwa nn, jamaa zenu na tamasha lao pendwa mpaka sasa wanashindwa kutangaza tarehe ya tamasha lao? Kama hujui WCB wameutawala mziki wa bongo fleva 80% kwa kifupi hamna mtu mwenye ubavu wa kuwakwepa WCB ,jamaa wameitawala social networking kwa kiasi kikubwa na kama hujui ni swala la muda tu lkn wadhamini wa wasafi festival tayari washapatika bado kupanga tarehe ya tamasha husika.
Eti tokea mwaka huu hajafanya show? Hivi unatumia simu ya tochi, hivi hujamsikia Victoria kimani akilalamika baada ya Diamond kupewa hela ndefu alipozindua album yake Kenya na nje ya hapo Kenya peke yake mwaka huu kapiga show zaidi ya tano, UK kapiga show zaidi ya nne, moja iliahirishwa na maafisa wa usalama sababu watu walijaa wengi huko Bingham. Haya mwisho angalia A list ya One festival
View attachment 864565View attachment 864566
Hapo bado ana show Canada miji mitatu au labda unamzungumzia Diamond mwengine au labda umetumwa umuharibie kwa mzushia jamaa, kwa kifupi mwaka huu hayupo msanii yoyote aliyepiga show kumzidi Mondi na jamaa kila siku anakuwa, nchi za kusini mwa jangwa la sahara ambazo hajapiga show ni Angola, lkn nchi zote kamaliza tena kafanya kwenye open space.
Hata jordan hana umiliki wa jordans 100%..Kuna sehemu Mondi anakosea,either management yake au yeye mwenyewe,maisha binafisi nakuchanganya na kazi vitamfanya apoteze mvuto!!
Diamond karanga ndo zishatoka sokoni,ingawa sio zake 100%, Chibu perfume,sijui ziko wapi ingawa nazo sio zake 100%!! Wasafi tv and Radio pia tutakuja sikia sio zake 100%!!
Tukirudi kwenye matangazo hasa ya coys kubwa kubwa,voda na dstv ndo hana tena contract nao,kabakiza Coca Cola tu,napo sio sana!!
Tukumbuke EA kuna mtu alikua anapiga show za ndani na Nje kama Jose Chameleon wa Uganda??? Hadi kuitwa Dr Chameleon!! Lakini kwa sasa,kapoa sana!! Ingawa sijui,kama ana miradi mikubwa sana! Maisha yanabadilika sana,zamani kutoka tegeta hadi posta kulikua na billboard outdoors nyingi sana roads,but kwa sasa hakuna kabisa,watu wanahamia kwenye digital advert!!!
Simba au dangote wa miaka mitatu iliyopita sio huyu wa sasa nadiriki kusema kageuka paka sio simba tena.
Simba wa zamani ilikuwa ni ngumu kumkuta bongo ratiba yake ilikuwa booked almost the whole year,hakuwa na muda wa majungu wala vijembe alikuwa busy na show kama sio show basi alikuwa na ratiba ya collabo na artist wa nje alikuwa hafikiki kirahisi.
Toka mwaka uanze mond hajafanya show yeyote kubwa wakati wakina Whizkid na Davido ambao walikuwa level moja nae au kawazidi wakiwa wanapasua anga mond yeye anazidi kushuka chini alifanya shoo chache london lakini zote zilidoda na nyengine akanusurika kichapo yeye na crew yake,
Muda mwingi yuko bongo akileteana majungu na wanawake zake kina Hamisa je tatizo nini?
Nimeipenda last paragraph!Kuna sehemu Mondi anakosea,either management yake au yeye mwenyewe,maisha binafisi nakuchanganya na kazi vitamfanya apoteze mvuto!!
Diamond karanga ndo zishatoka sokoni,ingawa sio zake 100%, Chibu perfume,sijui ziko wapi ingawa nazo sio zake 100%!! Wasafi tv and Radio pia tutakuja sikia sio zake 100%!!
Tukirudi kwenye matangazo hasa ya coys kubwa kubwa,voda na dstv ndo hana tena contract nao,kabakiza Coca Cola tu,napo sio sana!!
Tukumbuke EA kuna mtu alikua anapiga show za ndani na Nje kama Jose Chameleon wa Uganda??? Hadi kuitwa Dr Chameleon!! Lakini kwa sasa,kapoa sana!! Ingawa sijui,kama ana miradi mikubwa sana! Maisha yanabadilika sana,zamani kutoka tegeta hadi posta kulikua na billboard outdoors nyingi sana roads,but kwa sasa hakuna kabisa,watu wanahamia kwenye digital advert!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]We mtaani kwenu una mvuto wowote.?
Mimi siwatetei ila sipendagi wanaume wajinga wasiojielewa wanaozalilisha MTU anayemvulia chupi na kuzini wote huko ni kutokukua kiakili, kuna wanaume wako vzuri huwa hawazalilishi waliovuliana nguo, sasa huyu mtandale asiye na exposure ndo hufanya huo ujingaAcha kutetea wanawake wenzio, waliyataka wenyewe, Diamond anawakilisha tabia ya mastaa duniani kote hawajahi kudumu katika ndoa au mahusiano, kama nikuzalilishwa walitaka wao wenyewe
hahah comment yako inachekesha..Mimi siwatetei ila sipendagi wanaume wajinga wasiojielewa wanaozalilisha MTU anayemvulia chupi na kuzini wote huko ni kutokukua kiakili, kuna wanaume wako vzuri huwa hawazalilishi waliovuliana nguo, sasa huyu mtandale asiye na exposure ndo hufanya huo ujinga
Ndo maana nimekwambia hao unaosema wewe wanadhalilishwa wanapenda hivyo anavyowafanyiaMimi siwatetei ila sipendagi wanaume wajinga wasiojielewa wanaozalilisha MTU anayemvulia chupi na kuzini wote huko ni kutokukua kiakili, kuna wanaume wako vzuri huwa hawazalilishi waliovuliana nguo, sasa huyu mtandale asiye na exposure ndo hufanya huo ujinga
Nahisi haumfahamu diamond vizuri labda nikueleweshe kidogo diamond ni nani?Kuna sehemu Mondi anakosea,either management yake au yeye mwenyewe,maisha binafisi nakuchanganya na kazi vitamfanya apoteze mvuto!!
Diamond karanga ndo zishatoka sokoni,ingawa sio zake 100%, Chibu perfume,sijui ziko wapi ingawa nazo sio zake 100%!! Wasafi tv and Radio pia tutakuja sikia sio zake 100%!!
Tukirudi kwenye matangazo hasa ya coys kubwa kubwa,voda na dstv ndo hana tena contract nao,kabakiza Coca Cola tu,napo sio sana!!
Tukumbuke EA kuna mtu alikua anapiga show za ndani na Nje kama Jose Chameleon wa Uganda??? Hadi kuitwa Dr Chameleon!! Lakini kwa sasa,kapoa sana!! Ingawa sijui,kama ana miradi mikubwa sana! Maisha yanabadilika sana,zamani kutoka tegeta hadi posta kulikua na billboard outdoors nyingi sana roads,but kwa sasa hakuna kabisa,watu wanahamia kwenye digital advert!!!
Siamin km hao unaowaongelea wananyanyaswa au kudhalilishwa.... kukurupukia kila kinachozungumzwa mitandaoni nao ni ujinga usio na maana... kwan kuna aliyewah wathibitishia kuwa hapendi? Mambo mengine ni yao binafsi... we yakikuuma inabid upotezee tu maana hayakuhusu... we fatilia mziki wake potezea... kwan n wangapi ambao huwa wanapigwa na kufukuzwa kwao km mbwa mwiz mnawafumbia macho? Kawatetee kwanza hao ndo uje umtetee anayetoka na mond... kwanza naona ni bora sana anavofanya mond kuliko km angekuwa anawapiga na kuwafukuza kabisa... yaan wawe paka na panyaMimi siwatetei ila sipendagi wanaume wajinga wasiojielewa wanaozalilisha MTU anayemvulia chupi na kuzini wote huko ni kutokukua kiakili, kuna wanaume wako vzuri huwa hawazalilishi waliovuliana nguo, sasa huyu mtandale asiye na exposure ndo hufanya huo ujinga
Umetoa povu la bure hao wanaopigwa hawajulikani lakini diamond yeye ndo huweka mambo yake hadharani ili atrend lazima tu apate mtazamo tofauti, ndo maana baada ya makiki za uzalilishaji wa wanawake watu wamemchoka hata hatishi ka before sasa anabaki kutumia kiki za uchawi za baby mamasSiamin km hao unaowaongelea wananyanyaswa au kudhalilishwa.... kukurupukia kila kinachozungumzwa mitandaoni nao ni ujinga usio na maana... kwan kuna aliyewah wathibitishia kuwa hapendi? Mambo mengine ni yao binafsi... we yakikuuma inabid upotezee tu maana hayakuhusu... we fatilia mziki wake potezea... kwan n wangapi ambao huwa wanapigwa na kufukuzwa kwao km mbwa mwiz mnawafumbia macho? Kawatetee kwanza hao ndo uje umtetee anayetoka na mond... kwanza naona ni bora sana anavofanya mond kuliko km angekuwa anawapiga na kuwafukuza kabisa... yaan wawe paka na panya
Kutembea nchi mbali mbali hakujamtoa tope la ujinga kichwani ka anashindwa heshimu wanawake kwangu ni useless hana exposure yoyote angekuwa nchi za nje kumemfundisha asingefanya huo ujinga tena angeshapotea kimuziki siku nyingi.hahah comment yako inachekesha..
Unaposema Dimond hana Expossure unamaanisha nini, ameshatembea nchi ngapi, kakutana na watu wangapi tangia ametoka mwaka 2009!
Labda utumie neno jingine ila ukisema Dimond hana exposurre unakosea si kidogo