Diamond katoboa pua?

Diamond katoboa pua?

Ngoja wanaume wa Kigogo, kimasai na makabila mengine waje. Mgogo anatoga pua anaweka hereni ya mti mbona hamumsemi? Morani anatoga na kuvuta masikio na kusuka mbona hamlalamiki? Mwenzenu anakuza mila za kiafrika haswa.
 
Kwa niaba ya wanaume wenzangu wa Dar naandika kwa uzuni na mashononeko hii habari yko kaka nasibu nikiwa n moja wa shabiki zko toka enzi zile za kamwambie nimekuwa c mtu wa kuingia wala kuzugumzia personal life yko ila km hili umenikwaza na sijui umewaza nn kutoboa pua embu sema sio kweli umebandika tu iyo herani jamii inakuangalia km fundisho kwa jinsi ulivyo hustle toka maisha magumu hadi ulipo now unaifundisha nn nani aliokupa ushauri utoboe pua zari, rommy jones au babu tale au yule dogo wa empire na mama yko je amekurusu.? hayo mambo waachie wazungu wakina chris brown nasibu sio kila kitu cha kuiga bhn
bb22583f944afda932d459bccbed4840.jpg
Huku sasa ni kuharibika
 
nimeshangaa kuona ney kampongeza wakat chid alipotoboa neyalimponda
 
Nasapoti mziki wake ila sisapoti upuuzi wake
 
Wanaume wanapenda kuwa kama wanawake
 

Attachments

  • 1460007250497.jpg
    1460007250497.jpg
    58.4 KB · Views: 37
Sio kila kitu ni kizuri kuiga.....nyimbo zake ziko vizuri ila kwa hili Kakosea
 
Guys sizani kama jamaa katonoa pua ts a kick or kuna thing z coming...insta account ya tuddthomas ameeka pcha n ameandika coming soon....it seems kuna kitu wapo nacho to b released soon
Incase jamaa katoboa atakuwa amezngua sana.
 
Guys sizani kama jamaa katonoa pua ts a kick or kuna thing z coming...insta account ya tuddthomas ameeka pcha n ameandika coming soon....it seems kuna kitu wapo nacho to b released soon
Incase jamaa katoboa atakuwa amezngua sana.
Hata kama kuna kitu kinakuja kwa namna hiyo mhhhhhh NO.
 
Back
Top Bottom