Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,071
- 6,753
Mbaya zaidi, ni hao hao majuzi tu walikuwa wanaimba Lowasa fisadi, Mbowe amebadilisha kauli na wao wamebadilisha halafu wakiambiwa wapumbavu na malofa wanalalamika! Wakiambiwa wapo kama nyumbu wanapelekeshwa tu wanalalamika!
Natoka povu? Kisa? Natoka povu kwavile namjibu "kila mtu" kama unavyodai, au? Hivi wanaolialia na kumwaga laana kwamba mwisho wake umeisha na mimi ninayesema ramli zenu hazitazaa matunda ni nani kati yetu anamwaga povu??!! By the way, ina maana ameisha kwavile tu hajaipigia kampeni UKAWA, au?! Hivi hiki kibri cha nyinyi kujifanya Miungu Watu kwamba so long as mtu haungi mkono mnachounga nyinyi ndo basi mwisho wake umeisha... mnakitoa wapi hicho kibri?!Yaani nguvu mnazotumia kupambana na Diamond asiye na madhara yoyote ingekuwa ndo mnazitumia kupambana na CCM, may be ndo zenu za kuindoa CCM zingetimia but mnapambana na kivuli!!!
NB: Hizo ramli za kwamba mwisho wake umeshafika hazijaanza jana wala juzi!!!
Leo hii nikiulizwa nichague nini kati ya liji-IQ kuuuuuuuuubwa pamoja na ma-degree kedekede ambayo yataishia kunipa mshahara wa laki 7 (wengine humu hata huu wa laki 7 pamoja na nyodo zao zote hawapati na wala hawana sifa za kuupata) hadi 2 million lisilonisaidia na kaji-IQ kadogooooo kanakonipa hiki na kile, honestly nitachagua hako hako kaji-IQ kaduchu hata kama ni 2!
Kila siku mtaishia kujivunia IQ ambazo hazijakuwa tested popote na wala hamjui mnazo ngapi pamoja na ma-degree ingawaje wengine hata hiyo diploma yenyewe hawana but at the end of the day pamoja na manyodo yenu yote wengine wataishia kupanda daladala na kuishi kwenye chumba wanacho-share na mindoo ya maji hadi wanaingia kaburini!!
Inama, kisha tazama nyuma kupitia kati kati ya miguu yako na hapo utafahamu ikiwa mimi ni ME au KE!wewe ni ke au me?
Shauri zao wanaochanganya burudani na siasa na hapo hapo kujifanya miungu watu! Badala ya kupambana na ugonjwa wanapambana na dalili....!! Halafu umepotea ile mbaya!Na Leo Dr Slaa anahamia ACT, hahahaaa watavunja mabungo mwaka huu, nazi zimepanda beiii....
#team dai miaka mia....
Diamond ni raia kama wewe anahaki na maamuzi sahihi kwa mustaqbali wa maisha yake amechagua njia aipendayo ya kweli na haki kwa kua ccm imepembua mchele wake nanyi mkachukua pumba zifanye kazi kwenu
Shauri zao wanaochanganya burudani na siasa na hapo hapo kujifanya miungu watu! Badala ya kupambana na ugonjwa wanapambana na dalili....!! Halafu umepotea ile mbaya!
Usiniambie ndo ushaenda Chiungutwa!!Nipooo...tatizo net.
Mm nampigia kula .,,, umasikini wako usilete matusi. Diamond yupo juu hata kwa pesa
Umeandika utazani hawajawahi ku do.
Khaaaa chuki za nini na mtoto ni wake inawauma kazaa. Lol
Na wengine wanaoumia ni wanaume sasa utadhani walitaka huyo Diamond azae na wao!
Halafu hao wenyewe wanaotaka tuwaone wasomi na wana IQ kubwa ingawaje hazijawahi kuwa tested popote, mambo wanayoongea wala hayasadifu na majigambo yao!