Diamond kila anapogusa moto

Diamond kila anapogusa moto

Mbaya zaidi, ni hao hao majuzi tu walikuwa wanaimba Lowasa fisadi, Mbowe amebadilisha kauli na wao wamebadilisha halafu wakiambiwa wapumbavu na malofa wanalalamika! Wakiambiwa wapo kama nyumbu wanapelekeshwa tu wanalalamika!


hapa mjini ni hela tuu na hivi wako na wachagaaa watanyooka tu
 
Natoka povu? Kisa? Natoka povu kwavile namjibu "kila mtu" kama unavyodai, au? Hivi wanaolialia na kumwaga laana kwamba mwisho wake umeisha na mimi ninayesema ramli zenu hazitazaa matunda ni nani kati yetu anamwaga povu??!! By the way, ina maana ameisha kwavile tu hajaipigia kampeni UKAWA, au?! Hivi hiki kibri cha nyinyi kujifanya Miungu Watu kwamba so long as mtu haungi mkono mnachounga nyinyi ndo basi mwisho wake umeisha... mnakitoa wapi hicho kibri?!Yaani nguvu mnazotumia kupambana na Diamond asiye na madhara yoyote ingekuwa ndo mnazitumia kupambana na CCM, may be ndo zenu za kuindoa CCM zingetimia but mnapambana na kivuli!!!

NB: Hizo ramli za kwamba mwisho wake umeshafika hazijaanza jana wala juzi!!!

Na Leo Dr Slaa anahamia ACT, hahahaaa watavunja mabungo mwaka huu, nazi zimepanda beiii....

#team dai miaka mia....
 
Leo hii nikiulizwa nichague nini kati ya liji-IQ kuuuuuuuuubwa pamoja na ma-degree kedekede ambayo yataishia kunipa mshahara wa laki 7 (wengine humu hata huu wa laki 7 pamoja na nyodo zao zote hawapati na wala hawana sifa za kuupata) hadi 2 million lisilonisaidia na kaji-IQ kadogooooo kanakonipa hiki na kile, honestly nitachagua hako hako kaji-IQ kaduchu hata kama ni 2!

Kila siku mtaishia kujivunia IQ ambazo hazijakuwa tested popote na wala hamjui mnazo ngapi pamoja na ma-degree ingawaje wengine hata hiyo diploma yenyewe hawana but at the end of the day pamoja na manyodo yenu yote wengine wataishia kupanda daladala na kuishi kwenye chumba wanacho-share na mindoo ya maji hadi wanaingia kaburini!!

wewe ni ke au me?
 
Na Leo Dr Slaa anahamia ACT, hahahaaa watavunja mabungo mwaka huu, nazi zimepanda beiii....

#team dai miaka mia....
Shauri zao wanaochanganya burudani na siasa na hapo hapo kujifanya miungu watu! Badala ya kupambana na ugonjwa wanapambana na dalili....!! Halafu umepotea ile mbaya!
 
Wacha auone moto, na tuzo atashiriki sana ila kuzipata itabaki historia
 
Diamond ni raia kama wewe anahaki na maamuzi sahihi kwa mustaqbali wa maisha yake amechagua njia aipendayo ya kweli na haki kwa kua ccm imepembua mchele wake nanyi mkachukua pumba zifanye kazi kwenu

Yametosha..alipoongelea ukabila alikosea sana..aombe radhi..
 
Shauri zao wanaochanganya burudani na siasa na hapo hapo kujifanya miungu watu! Badala ya kupambana na ugonjwa wanapambana na dalili....!! Halafu umepotea ile mbaya!

Nipooo...tatizo net.
 
Mashabiki wa diamond=mashabiki wa Wema=0.
UKAWA mbele kwa mbele.
 
Kuna mambo muhimu ya kitaifa yanayotupasa kuyapa kipaumbele kwa sasa na si huyo Diamond na personal interests zake...Akaombe kura nchi za jirani watanzania tunasubiria kupiga kura za uraisi, ubunge na madiwani October 25
 
ally kiba nae aja mtwara kwajili ya kampeni ya ccm.big up king kiba kwa shoew kali @@*^_^*😵:-O-_-#:-X$_$=_=magufuli ni rais wa watanganyika na zanzibari€:-D?_?-_-#*^_^*@@😵:-O=_=?_?$_$*^_^*-_-!:-|:-🙂-*:-X@@😵T^T$_$?_?*^_^*@@:-D:-X*^_^*@@😵:-O:-Q😛;-)
 
Halafu hao wenyewe wanaotaka tuwaone wasomi na wana IQ kubwa ingawaje hazijawahi kuwa tested popote, mambo wanayoongea wala hayasadifu na majigambo yao!

ukisoma post za hawa wanaomponda za nyuma utangachoka hadi utabaki unawasikitikia why kumsakama mtu anayejitahidi na life badala wa geze wao ndio wanatengeneza skills za kihivi
 
Back
Top Bottom