samsun
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 7,386
- 5,965
Mara ya kwanza DIAMOND kuingia ktk tuzo za kimataifa ilikuwa 2010 nyimbo ilikuwa mbagala akakosa tuzo kwahiyo hatoshangaa kukosa.Wakati huu ndio atahisi mara baada ya kura zake kupotew.Subiri uone..


