MARA IMARA
JF-Expert Member
- Aug 15, 2015
- 238
- 163
Duh mizogaaa??? Likija swala la uumbaji tuwe ethical kidogoKama ni kweli basi Diamond anakusudia kumuua Kiba kimuziki. Kwa kweli Kiba analikoroga ile mbaya yaani kaishiwa kimuziki utadhani hajawahi kushika mic before. Anachoimba tofauti na kinacho onekana na kudansi.....yaani he is just too pathetic. Aache tu muziki aendelee kuzaa na mizoga.
HA HA HA HA hilo jina et komba nduguru haule..lupela ndo video mbovu ya karne hovyoooo kabisa diamond na kiba ni sawa na kumlinganisha messi na winga wa majimaji ya songea komba ndunguru haule
Nyooo Siku ya uzinduzi Wa lupela lingepigwa bomb slip way mngekosa bongo fleva maana wakali kibao walikuwa pale kiba ni legend ww Fundi na usiombe kukutana nae puuuumbavTangazo tu la Vodacom limeharibu mipango yote ya uzinduzi wa Lupela, sasa akitoa na wimbo si ndio balaa kabisa. Tatizo kupigana kwa mawe huku unakaa kwenye nyumba ya vioo ndio hili. Vioo vyote vitapasuliwa.
Jipe moyo by Flora MbashaNADHANI ndo itakuwa mwisho wa biashara ya MAPERA..!
Anamfikiria sana King anamuogopa anadhan ataweza kumzima anaachia ngoma kama underground anayetafuta jina hahahahaaaa kibaaaaaaaaaa utamuua huyu kunguru wa tandaleMwiba mwingne unakuja
mbona matusi tena jirani yangu..!?Jipe moyo by Flora Mbasha
Jipe moyo ni nyimbo bro ya Flora Mbasha umerud lini marekani kakambona matusi tena jirani yangu..!?
ahahahahah...Jipe moyo ni nyimbo bro ya Flora Mbasha umerud lini marekani kaka
Poa Poa kakaahahahahah...
poapoa bro...
nilikua sijakuelewa...
kumbe jipe moyo ni wimbo..!!!
aya bhana
Hivi alozaa na mzoga nani?...tunaweza kuanzia hapa labda hahahaaaa mbavu zangu ayseeDuh mizogaaa??? Likija swala la uumbaji tuwe ethical kidogo
Mbongo halisi kamtaja k 4 real sasa km mama ni mzoga means mtoto ni haramu!!! Haya maneno hayaHivi alozaa na mzoga nani?...tunaweza kuanzia hapa labda hahahaaaa mbavu zangu aysee
Teh teh..Hizo sifa sasa mpendwa..Ataangusha mbuyu juu ya mpera we usizime radio. Tv wala data teh kaa tayari
Duhh [emoji29] [emoji28]lupela ndo video mbovu ya karne hovyoooo kabisa diamond na kiba ni sawa na kumlinganisha messi na winga wa majimaji ya songea komba ndunguru haule
Kuna mtu kazaa na mtu aliyekuwa na watoto watatu na mwengine yupo na mtu ambaye hana japo mtoto mmoja asa nan yupo na mzoga angalieni mnajitovuga wenyewe maneno yenu hahahahaaaa....Mbongo halisi kamtaja k 4 real sasa km mama ni mzoga means mtoto ni haramu!!! Haya maneno haya
Kawapiga tuzo tano KTMA mlipokutana uso kwa uso nyau hahahahaaaaa Chuki mnaigeuza hasiraDuhh [emoji29] [emoji28]
Tengeneza na ww yako mkuu tuionelupela ndo video mbovu ya karne hovyoooo kabisa diamond na kiba ni sawa na kumlinganisha messi na winga wa majimaji ya songea komba ndunguru haule