Diamond kuachia video nyingine wiki hii

Diamond kuachia video nyingine wiki hii

Kama ni kweli basi Diamond anakusudia kumuua Kiba kimuziki. Kwa kweli Kiba analikoroga ile mbaya yaani kaishiwa kimuziki utadhani hajawahi kushika mic before. Anachoimba tofauti na kinacho onekana na kudansi.....yaani he is just too pathetic. Aache tu muziki aendelee kuzaa na mizoga.
Duh mizogaaa??? Likija swala la uumbaji tuwe ethical kidogo
 
sijui itakua kali..!!!?
 

Attachments

  • 1455101839492.jpg
    1455101839492.jpg
    42.1 KB · Views: 19
Tangazo tu la Vodacom limeharibu mipango yote ya uzinduzi wa Lupela, sasa akitoa na wimbo si ndio balaa kabisa. Tatizo kupigana kwa mawe huku unakaa kwenye nyumba ya vioo ndio hili. Vioo vyote vitapasuliwa.
Nyooo Siku ya uzinduzi Wa lupela lingepigwa bomb slip way mngekosa bongo fleva maana wakali kibao walikuwa pale kiba ni legend ww Fundi na usiombe kukutana nae puuuumbav
 
Mbongo halisi kamtaja k 4 real sasa km mama ni mzoga means mtoto ni haramu!!! Haya maneno haya
Kuna mtu kazaa na mtu aliyekuwa na watoto watatu na mwengine yupo na mtu ambaye hana japo mtoto mmoja asa nan yupo na mzoga angalieni mnajitovuga wenyewe maneno yenu hahahahaaaa....
 
dogo chibu we achia tu kitu we wa kimataifa tunakuelewa hukoseagi
 
Back
Top Bottom