Diamond kuchimba visima na kujenga madawati shule za Tandale

Diamond kuchimba visima na kujenga madawati shule za Tandale

Hapa nampa 100%..

Well done Diamond..
Pia ungewajengea na vyoo,maana vyoo vya kayumba ni hatari..

Pia fanya fasta utoe wmbo mwngne,huu wa sasa n wa kawaida mno na haujashtua,wanaosema mzuri wanakupotosha..
 
hongera dimond kama ni kweli
panapostahili pongezi apewe....binamu @ warumi upo
 
Haaaahaaa kweli ukikaa karibu na mahakama lazima ujue sheria hata kidogo,uyu dogo kupiga story na braza wa magogoni nae ashaanza kutoa ahadi kama braza utadhani fadha x-mass nakumbuka hapo hapo XXL alisema atajenga msikiti Tandale tena wa kisasa ishapita miaka 2 kimyaaaa mjinga kweli uyu dogo ashakua mropokaji.
 
Nice.., ACTIONS! ACTIONS! ACTIONS!
 
Back
Top Bottom