Diamond kufunguliwa kesi ya fidia ya mabilioni na Wakenya kwa kushindwa ku-perform

Diamond kufunguliwa kesi ya fidia ya mabilioni na Wakenya kwa kushindwa ku-perform

Ila watanzania tuna katabia ka kujipendekeza kwa watu nchi zingine.

Sasa hapo kuna kesi gani ikiwa wao ndiyo walivunja mkataba?

Support your fellow country man
Wamevunja vipi mkataba hebu dadavua ,jamaa jagoma kupanda stejini akidai kunavurugu huku chini na mpaka show inaisha hakuna msanii au hata sisimizi aliyejeruhiwa yeye ni nani ajeruhiwe
 
Wakenya wajanja sana.

Wametafuta njia ya kuyachota mahela ya msanii Diamond, njia pekee waliyoona ni kumwalika kwenye show na kutengeneza mazingira ya yeye kuvunja mkataba.

Paap akaingia kwenye mfumo kwa kuvunja mkataba na sasa anaelekea kudaiwa mabilioni kama fidia.
Hata kama ni haters unatamani aishiwe sio kiwepesi namna hiyo. Umeandika kama Diamond ni mbumbumbu kiasi kwamba aingize kwenye huo mfumo wako kirahisi sana hivyo?. Ujanja wao wakafanye kazi za kuwaingizia kipato halali,sio kuvizia.
 
Wakenya wajanja sana.

Wametafuta njia ya kuyachota mahela ya msanii Diamond, njia pekee waliyoona ni kumwalika kwenye show na kutengeneza mazingira ya yeye kuvunja mkataba.

Paap akaingia kwenye mfumo kwa kuvunja mkataba na sasa anaelekea kudaiwa mabilioni kama fidia.
Wao ndio wameingia kwenye mfumo wa mtoto wa Tandale.
 
Wakenya wajanja sana.

Wametafuta njia ya kuyachota mahela ya msanii Diamond, njia pekee waliyoona ni kumwalika kwenye show na kutengeneza mazingira ya yeye kuvunja mkataba.

Paap akaingia kwenye mfumo kwa kuvunja mkataba na sasa anaelekea kudaiwa mabilioni kama fidia.

In bold, doesn't that undermine the purpose?

Jielimishe mambo ya sheria kabla ya kubwabwaja. Kizungu hamjui na sheria zinawashinda. Smh
 
Ila watanzania tuna katabia ka kujipendekeza kwa watu nchi zingine.

Sasa hapo kuna kesi gani ikiwa wao ndiyo walivunja mkataba?

Support your fellow country man

Mitanganyika ina inferiority complex. Chochote kile cha nje ni bora kuliko wao ndo maana JPM alikua anawaita wanyonge na wao wakaona ni sifa.

Mbongo akisikia Kenya, Rwanda au nchi yeyote ile analoa ndo maana wanaogopa uraia pacha na kushindana kwa namna yeyote ile kimataifa.
 
Wakenya wajanja sana.

Wametafuta njia ya kuyachota mahela ya msanii Diamond, njia pekee waliyoona ni kumwalika kwenye show na kutengeneza mazingira ya yeye kuvunja mkataba.

Paap akaingia kwenye mfumo kwa kuvunja mkataba na sasa anaelekea kudaiwa mabilioni kama fidia.
Ww haulkuna kitu Cha ivyo wao ndo wamevunja mkataba!!
 
Wakenya wajanja sana.

Wametafuta njia ya kuyachota mahela ya msanii Diamond, njia pekee waliyoona ni kumwalika kwenye show na kutengeneza mazingira ya yeye kuvunja mkataba.

Paap akaingia kwenye mfumo kwa kuvunja mkataba na sasa anaelekea kudaiwa mabilioni kama fidia.
Anaweza kushinda maana kulikuwa na fujo na ni hatari kwake na watu wake.
 
Haoo kuna point ila ngoja tuone,jApO tangu tarehe nanewanamwamviaapande jukwaani yeye anadai kuna vurugu hawezi kupanda,mpaka ikafika tarehe tisa,hajuna uvunjifu wa amani ulioripotiwa,yeye ni nani vibe anaita vurugu?
Diamond sio mjinga hajasoma ila anajua kuwatumia wanasheria,hata huo mkataba lazima kutakuwa na hivyo vipengele.Kwanza umeisklikiliza intvw ya Mondi?
 
Mitanganyika ina inferiority complex. Chochote kile cha nje ni bora kuliko wao ndo maana JPM alikua anawaita wanyonge na wao wakaona ni sifa.

Mbongo akisikia Kenya, Rwanda au nchi yeyote ile analoa ndo maana wanaogopa uraia pacha na kushindana kwa namna yeyote ile kimataifa.
Mfano halisi ni huyu mtoa mada
Yaani wakenya wao kule licha ya huyo msanii willy Paul kuleta fujo lakini bado wanamsapoti kwa moyo mmoja.

Ila huku kwetu tunamkandia huyu kijana wetu mtafutaji aliyekwenda Kenya kutafuta pesa ambayo bado anakuja kuitumia nyumbani ..!

Na ndiyo sababu wabongo madiaspora hawataki kujuana juana wakiwa sababu ya watu wachache kama huyu mtoa mada lazima akuharibie mtu kama huyu
 
Je kwa kutokuperfom kwake amesababisha hasara kivipi ikiwa watu walisha lipa hela zao?
Je watu walirudishiwa hela zao coz Diamond hakuperform?
Hapa wataalamu naomba mnieleweshe,

Kuna clip Diamond ametoa na kuelezea hiyo issue ilivyokua,
ukiisikiliza kwa umakini,utaelewa kua hakuna kesi hapo.
Mwanasheria toka bonyokwa hapo umeshatoa hukumu tayari
 
Hao wakenya hawalambi hata mia mbovu ya mtoto wa tandale... Wamejichanganya tu wanadhani wao ndo wajanja kuliko wa tz wote
Huko hakuna mahakama za kibongo za maelekezo, mshaurini msanii wenu aache uhuni pesa kapokea show hajapiga arudishe mpunga
 
Wamevunja vipi mkataba hebu dadavua ,jamaa jagoma kupanda stejini akidai kunavurugu huku chini na mpaka show inaisha hakuna msanii au hata sisimizi aliyejeruhiwa yeye ni nani ajeruhiwe
Yaani mkuu unajitoa akili sana
Kwanza mwenzako amefuata mkataba wake unasemaje.
-atapiga show kwa muda gani
-atapanda jukwaani muda gani
-atashuka muda gani

Na vipengele vingine ambayo wazi vinakuwa kwenye mkataba.

Sasa muda wake wa kupanda umefika halafu huyo "wile paulo" analeta fujo kwamba anatakiwa kupanda yeye kisa tu ni mkenya! Kwanza event organisers wanatakiwa kumfungulia mashtaka huyo wile na sio diamond..

Kwanza diamond sio mjinga alishafanya show nyingi duniani anajuwa na experience inamuongoza
Wile alicreate chaos na hatred hukuona on the stage anasema "wakenya wamepigwa back stage na hamuambiwi" sasa kwa akili ya kawaida wakati ni yeye ndiyo alifinywa alipotaka kuleta fujo? Afu anadai ni wakenya wamepigwa huoni anatengeneza chuki kwa wakenya kuwashambulia watanzania waliokuwepo hasa diamond?

Ushabiki usitutoe ufahamu sana
 
Yaani mkuu unajitoa akili sana
Kwanza mwenzako amefuata mkataba wake unasemaje.
-atapiga show kwa muda gani
-atapanda jukwaani muda gani
-atashuka muda gani

Na vipengele vingine ambayo wazi vinakuwa kwenye mkataba.

Sasa muda wake wa kupanda umefika halafu huyo "wile paulo" analeta fujo kwamba anatakiwa kupanda yeye kisa tu ni mkenya! Kwanza event organisers wanatakiwa kumfungulia mashtaka huyo wile na sio diamond..

Kwanza diamond sio mjinga alishafanya show nyingi duniani anajuwa na experience inamuongoza
Wile alicreate chaos na hatred hukuona on the stage anasema "wakenya wamepigwa back stage na hamuambiwi" sasa kwa akili ya kawaida wakati ni yeye ndiyo alifinywa alipotaka kuleta fujo? Afu anadai ni wakenya wamepigwa huoni anatengeneza chuki kwa wakenya kuwashambulia watanzania waliokuwepo hasa diamond?

Ushabiki usitutoe ufahamu sana
Lete huo mkataba wenye hivyo vipengele tuusome, achana na maneno ya kuokoteza,

Siyo unatunga tunga vimeneno kuhalalisha utapeli
 
Mashabiki wa Simba sio kwenye michezo tu hata kwenye mambo mengine mnatuaibisha sana

Jitathmini
Tuna elimu na utaalam wa maswala mbalimbali lipojitokeza jambo ambalo lipo juu ya uwezo wenu lazima tuibuke kutoa Elimu na kuwaelimisha mazamwamwa kama nyie
 
Back
Top Bottom