Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Kwahiyo wasanii International unadhani wanakuja tu wanaimba imba na kusepa?Lete huo mkataba wenye hivyo vipengele tuusome, achana na maneno ya kuokoteza,
Siyo unatunga tunga vimeneno kuhalalisha utapeli
Bila mkataba?
Nyamaza usijiaibishe humu sawa?