Picha mkuu? ili tuweze kuamini maandishi yakoMsanii namba 1 Afrika kwa sasa, Diamond Platnumz ajenga nyumba ya Ibada (Msikiti)
Usiangalie viongozi we angalia dini inasemaje juu ya hiloNi asilimia moja tu (1%) tu ya viongozi wa dini nchi hii wanaoweza kusimama linapokuja suala la pesa.
Hiyo taqbirr inainua Uislamcku iz waisilam wame legea sana cio wale wa takibirrr
Mjadala ni mkubwa mitandaoni ndo maana nikatafuta uzi.
Kifupi sisi sio Mungu kujaji hukumu za wenzetu. Yeye katoa msaada, waja watumie msikiti mengine tumwachie Mungu.
Kuna anejiona yeye ndio anastahili kutoa misaada kama miskiti?
Kuna biashara yoyote inayofanyika na kuingiz faida bila kufanya dhambi ikiwemo uongo, dhulma, uzandiki nk?
Suala kubwa linalotajwa ni kile kigodoro cha kwenye treni wakiwa njiani kwenda kigoma. Sasa mbona vigodoro vimetaradad uswahilini huko ambapo ndio kwenye mizizi ta uislam?
Je, haiwezekani kwamba yeye mondi kutoa mskiti ndio mwelekeo wake kuongeza ibada? Sasa tumkubali au tumkatishe tamaa?
Tusubiri mpaka lini ili tuone ni sawa kwa yeye kutoa mskiti? Ni kwamba aache bongo fleva ndio akubalike? Kwani kuna wangapi wanafanya maasi makubwa zaidi na hawafanyi bongo fleva?
Tuache unafki
Mjadala ni mkubwa mitandaoni ndo maana nikatafuta uzi.
Kifupi sisi sio Mungu kujaji hukumu za wenzetu. Yeye katoa msaada, waja watumie msikiti mengine tumwachie Mungu.
Kuna anejiona yeye ndio anastahili kutoa misaada kama miskiti?
Kuna biashara yoyote inayofanyika na kuingiz faida bila kufanya dhambi ikiwemo uongo, dhulma, uzandiki nk?
Suala kubwa linalotajwa ni kile kigodoro cha kwenye treni wakiwa njiani kwenda kigoma. Sasa mbona vigodoro vimetaradad uswahilini huko ambapo ndio kwenye mizizi ta uislam?
Je, haiwezekani kwamba yeye mondi kutoa mskiti ndio mwelekeo wake kuongeza ibada? Sasa tumkubali au tumkatishe tamaa?
Tusubiri mpaka lini ili tuone ni sawa kwa yeye kutoa mskiti? Ni kwamba aache bongo fleva ndio akubalike? Kwani kuna wangapi wanafanya maasi makubwa zaidi na hawafanyi bongo fleva?
Tuache unafki
Pesa sio mchezo ata Mungu anazitaka ili mambo yake yaendeJana niliskia kua Msanii Diamond amepenga kujenga msikiti mkubwa tu hapo tandale na kwamba amenunua uwanja mkubwa sana hapo tandale na kama haitoshi wakasema kua amepanga kuigeuza Tandale kua saudia..
View attachment 691698
Sasa nikawa najiuliza kama story hizo ni za kweli, masheikh wataukubali huo msikiti hali ya kua hapo nyuma kidogo kuna sheikh mkubwa tu aliwah kusema "Diamond sio muislamu kwakua anavaa misalaba na nyimbo zake ni za kishetani"
View attachment 691700
sasa leo anakwenda kujenga msikiti mkubwa sana pale tandale je wataupokea? Na kama wakiupokea watabaki na msimamo ule ule wa kwamba Diamond si Muislamu??
Thibitisha mziki ni haramu, maana huku mtaani watu wanacheza kaswida kama ndombolo na masheikh wakiwemoMkuu masuala ya dini kama huyaelewei bora ungeliyaacha tu.
- Lengo kuu la kujenga Mskiti ni kutafuta kiki tu na si kwa imani. (Kama kajenga kweli)
- Kujenga msikiti au kufanya sadaka ya aina yoyote kwa mujibu wa uislamu ikiwa chumo la mali ile inatokana na chumo la Haramu basi tambua hapo hapana malipo.
- Na mtu wakawaida hautakiwi kupokea sadaka kwa mali ambayo unafahamu sio ya halali. Napia kusali katika msikiti ambao umejengwa kwa mali isiyo ya halali.
Na katika uislamu Chumo la kupitia music liatambulika kama ni katika moja ya chumo la haramu.
Mimi nahisi kama jamaa hela imemchanganyia alikua aendeleze kula bata tu ayo mambo mengine aachane nayo.
Kama ni dhambi, husamehewa....Jana niliskia kua Msanii Diamond amepenga kujenga msikiti mkubwa tu hapo tandale na kwamba amenunua uwanja mkubwa sana hapo tandale na kama haitoshi wakasema kua amepanga kuigeuza Tandale kua saudia..
View attachment 691698
Sasa nikawa najiuliza kama story hizo ni za kweli, masheikh wataukubali huo msikiti hali ya kua hapo nyuma kidogo kuna sheikh mkubwa tu aliwah kusema "Diamond sio muislamu kwakua anavaa misalaba na nyimbo zake ni za kishetani"
View attachment 691700
sasa leo anakwenda kujenga msikiti mkubwa sana pale tandale je wataupokea? Na kama wakiupokea watabaki na msimamo ule ule wa kwamba Diamond si Muislamu??
Umetisha jamaaPesa sio mchezo ata Mungu anazitaka ili mambo yake yaende
Au angetoa kimya kimya sio hii ya RIAMkuu masuala ya dini kama huyaelewei bora ungeliyaacha tu.
- Lengo kuu la kujenga Mskiti ni kutafuta kiki tu na si kwa imani. (Kama kajenga kweli)
- Kujenga msikiti au kufanya sadaka ya aina yoyote kwa mujibu wa uislamu ikiwa chumo la mali ile inatokana na chumo la Haramu basi tambua hapo hapana malipo.
- Na mtu wakawaida hautakiwi kupokea sadaka kwa mali ambayo unafahamu sio ya halali. Napia kusali katika msikiti ambao umejengwa kwa mali isiyo ya halali.
Na katika uislamu Chumo la kupitia music liatambulika kama ni katika moja ya chumo la haramu.
Mimi nahisi kama jamaa hela imemchanganyia alikua aendeleze kula bata tu ayo mambo mengine aachane nayo.
HUTAKIWI KUANGALIA SHEKH ANGALIA KITABU KINASEMAJEThibitisha mziki ni haramu, maana huku mtaani watu wanacheza kaswida kama ndombolo na masheikh wakiwemo