mosabiy
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 2,521
- 1,927
Sababu mimi si msemaji wa uislam msemaji wa uislam ni QuranAhahahahah sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu mimi si msemaji wa uislam msemaji wa uislam ni QuranAhahahahah sawa
Kwahiyo Gadafi kateka wengi ?Kwa kuteka wapinzani wako
Umesema huna la kusema , sasa tena haya yanatoka wapi ?Sababu mimi si msemaji wa uislam msemaji wa uislam ni Quran
Sina la kusema kwenye lile unalolazimisha kusemwa la shekh wakoUmesema huna la kusema , sasa tena haya yanatoka wapi ?
Kwasababu huna elimu nalo ndio maana huwezi kusema kituSina la kusema kwenye lile unalolazimisha kusemwa la shekh wako
Na Ndiyo mafundisho ili kuepuka kupoteza watu. Kama huna ilmu ya jambo basi usilitoleee maelezoKwasababu huna elimu nalo ndio maana huwezi kusema kitu
Tafuta pesa zako ufanyie kazi mtazamo wako, sio kutoa mitazamo kwenye pesa za watu bob huo ni uchawi
Kaa pembeni tuko na sheikh mpaka utakapoleta ushahidi sheikh kakosea ndio tutaacha kumfata kwenye hiliNa Ndiyo mafundisho ili kuepuka kupoteza watu. Kama huna ilmu ya jambo basi usilitoleee maelezo
Misikiti haina faida kwa jamii yenu , ungekuwa na pesa ungejenga shule na kuacha kupigia mahesabu matumizi ya pesa za watu wengineI'm still sticking to my opinion kwamba misikiti haina faida yoyote kwa jamii. Halafu usiniambue tafuta pesa, kwani nani kakwambia sina?
Misikiti haina faida kwa jamii yenu , ungekuwa na pesa ungejenga shule na kuacha kupigia mahesabu matumizi ya pesa za watu wengine
UKO NA SHEKH AU UKO QURAN? UISLAM HAUNDI HIVYO MWAMBIE SHEKH WAKO AKUPE DALILI?Kaa pembeni tuko na sheikh mpaka utakapoleta ushahidi sheikh kakosea ndio tutaacha kumfata kwenye hili
Nandio mana nikasema lengo kuu ni kutafuta kiki sio kusaidia
Nandio mana nikasema lengo kuu ni kutafuta kiki sio kusaidia
Swali langu kwako , mfano mwanao kaenda vunja nyumba ya jilani yako au akaua mtu huko akafanya uasi kma umalaya, ushoga ushirikina baadae akakuletea shukurani wewe kma mzazi utapokea vile vitu
Sent using Jamii Forums mobile app
QURAN haijifundishi yenyewe ila mashekh ndio ufundisha watu , wewe kama unazo dalili za kumpinga lete hapaUKO NA SHEKH AU UKO QURAN? UISLAM HAUNDI HIVYO MWAMBIE SHEKH WAKO AKUPE DALILI?
Wenye imani yao wanajua faida yao ndio maana wamemshukuru, wewe kama unaona halina faida kwako usipende kugeneralize mambo kila mtu analo alipendaloSasa faida ya misikiti nini? Niweke sawa labda hapo kwanza.
Wenye imani yao wanajua faida yao ndio maana wamemshukuru, wewe kama unaona halina faida kwako usipende kugeneralize mambo kila mtu analo alipendalo