mosabiy
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 2,521
- 1,927
Wewe mbona umeshindwa kuleta dalili alizokupa?QURAN haijifundishi yenyewe ila mashekh ndio ufundisha watu , wewe kama unazo dalili za kumpinga lete hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mbona umeshindwa kuleta dalili alizokupa?QURAN haijifundishi yenyewe ila mashekh ndio ufundisha watu , wewe kama unazo dalili za kumpinga lete hapa
1. Nyumba ya ibada hivyo inawaandaa watu kiroho maana.ni sehemu ambapo unaweza pata mafunzo ya dini bila kusumbua watu wasio wa imani yako , katika UISLAMU ibada ya msikitini ni bora kuliko kuswali mwenyewe nyumbaniJF ni sehemu ya kuongea openly bila kuogopa. Mi nimezaliwa na kukua Dar. Jiji lenye misikiti mingi kuliko mahali popote pale Afrika ya Mashariki. Okay, labda misikiti ina faida, naomba kufahamishwa na mimi neielewe.
Mimi nimemsikiliza nimemuelewa kuwa yuko sawa, wewe unaemkataa ndio nakusikilize hoja zako kama nzito nabadili msimamo kinyume na hapo nipo na sheikhWewe mbona umeshindwa kuleta dalili alizokupa?
Lete comment niliyokataa.Mimi nimemsikiliza nimemuelewa kuwa yuko sawa, wewe unaemkataa ndio nakusikilize hoja zako kama nzito nabadili msimamo kinyume na hapo nipo na sheikh
Kwa Muislam cha kwanza kuangaliwa na swala. Kama haijakamilika amali zingine ndio zina chukuliwa. Ila kama haikutimizwa Allah ndiye mjuzi zaid1. Nyumba ya ibada hivyo inawaandaa watu kiroho maana.ni sehemu ambapo unaweza pata mafunzo ya dini bila kusumbua watu wasio wa imani yako , katika UISLAMU ibada ya msikitini ni bora kuliko kuswali mwenyewe nyumbani
2.Ukijenga msikiti malipo yako hayawezi katika mpaka msikiti ubomoke ata kama umekufa ( hii ni account isiyo chacha )
Hivyo sijaona tatizo hapo kama ameamua kufanya jambo kwa imani yake kuwa baada ya maisha haya atapata marejeo mazuri
Ni bora kuwa baridi au moto na sio vuguvugu , ueleweki kama popo mnyama au ndegeLete comment niliyokataa.
Niko makini. Sijakataa na Wala Sijakubali.
SawaKwa Muislam cha kwanza kuangaliwa na swala. Kama haijakamilika amali zingine ndio zina chukuliwa. Ila kama haikutimizwa Allah ndiye mjuzi zaid
Hapo siko vuguvugu moto wala baridi.Ni bora kuwa baridi au moto na sio vuguvugu , ueleweki kama popo mnyama au ndege
Kama sio vuguvugu wala moto wala baridi ebu tuambie kwahili sheikh kapatia au kakosea ?Hapo siko vuguvugu moto wala baridi.
Mimi si bendera mfuata upepo.
Quran inasema kapatia au Kakoaea? Kama mashekh ni warithi wa mtu je mtume alilifanya?Kama sio vuguvugu wala moto wala baridi ebu tuambie kwahili sheikh kapatia au kakosea ?
wewe QURAN huijui ? soma utuambie msimamo wako kapatia au kakoseaQuran inasema kapatia au Kakoaea? Kama mashekh ni warithi wa mtu je mtume alilifanya?
Wewe unayeijua umesoma umeona kapatia au kakosea?wewe QURAN huijui ? soma utuambie msimamo wako kapatia au kakosea
Mjadala ni mkubwa mitandaoni ndo maana nikatafuta uzi.
Kifupi sisi sio Mungu kujaji hukumu za wenzetu. Yeye katoa msaada, waja watumie msikiti mengine tumwachie Mungu.
Kuna anejiona yeye ndio anastahili kutoa misaada kama miskiti?
Kuna biashara yoyote inayofanyika na kuingiz faida bila kufanya dhambi ikiwemo uongo, dhulma, uzandiki nk?
Suala kubwa linalotajwa ni kile kigodoro cha kwenye treni wakiwa njiani kwenda kigoma. Sasa mbona vigodoro vimetaradad uswahilini huko ambapo ndio kwenye mizizi ta uislam?
Je, haiwezekani kwamba yeye mondi kutoa mskiti ndio mwelekeo wake kuongeza ibada? Sasa tumkubali au tumkatishe tamaa?
Tusubiri mpaka lini ili tuone ni sawa kwa yeye kutoa mskiti? Ni kwamba aache bongo fleva ndio akubalike? Kwani kuna wangapi wanafanya maasi makubwa zaidi na hawafanyi bongo fleva?
Tuache unafki
Thibitisha mziki ni haramu, maana huku mtaani watu wanacheza kaswida kama ndombolo na masheikh wakiwemo
Akili kama za wazanzibari hizi. Badala ya kujenga shule au hospitali ajenge msikiti. Msikiti utasaidia nini Manzese? Kuharibu pesa tu
Sheikh kasema yafaa , wewe unasemaje ?
Kasema yafaa tu , wewe unasemaje ?