Sheikh kasema yafaa , wewe unasemaje ?HUTAKIWI KUANGALIA SHEKH ANGALIA KITABU KINASEMAJE
Quran inasemaje? Je Shekh akisema ulawitiwe wewe utasemaje?Sheikh kasema yafaa , wewe unasemaje ?
Wanazuoni ndio warithi wa Mitume , wewe unasemaje yafaa au aifai halafu toa dalili zako sio kumbishia Sheikh kibubusaQuran inasemaje? Je Shekh akisema ulawitiwe wewe utasemaje?
Tafuta Pesa zako ndio ujenge shule wewe,wacha kupangia watu matumizi ya pesa zao wakati kwenye kutafuta hukuwepoAkili kama za wazanzibari hizi. Badala ya kujenga shule au hospitali ajenge msikiti. Msikiti utasaidia nini Manzese? Kuharibu pesa tu
Kwani huyo shekh wako katoa dalili gani?Wanazuoni ndio warithi wa Mitume , wewe unasemaje yafaa au aifai halafu toa dalili zako sio kumbishia Sheikh kibubusa
Kasema yafaa tu , wewe unasemaje ?Kwani huyo shekh wako katoa dalili gani?
Mwambie akupe dalili asikupeleke kibubusaKasema yafaa tu , wewe unasemaje ?
Wewe unasemaje yafaa au aifai ?Mwambie akupe dalili asikupeleke kibubusa
Dhambi zinahesabiwa vip ?Kwani Diamond na Ghadaffi yupi mwenye dhambi nyingi
Kumbe kuna wakati ufurushi unakupanda kichwani[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]Alikiba anataka ajenge mkubwa kuliko yote Tanzania sema amekataza media kulizungumzia hilo hapendi show off
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta Pesa zako ndio ujenge shule wewe,wacha kupangia watu matumizi ya pesa zao wakati kwenye kutafuta hukuwepo
Kwa kuteka wapinzani wakoDhambi zinahesabiwa vip ?
Tafuta pesa zako ufanyie kazi mtazamo wako, sio kutoa mitazamo kwenye pesa za watu bob huo ni uchawiSiwezi kumpangia mtu yeyote, nimetoa mtazamo kama kila mtu anavyofanya hapa. Sasa nakushangaa kwanini umepanic
Thibitisha mziki ni haramu, maana huku mtaani watu wanacheza kaswida kama ndombolo na masheikh wakiwemo
Mimi sina la KusemaWewe unasemaje yafaa au aifai ?
Ahahahahah sawaMimi sina la Kusema
Kila mtu ajielewi binadamu mna mamboHao wazee wakasida ni watu wasiojielewa tu.