Wasalam kwenu nyote.
Kwanza namshukuru Allah walau kwa kuniwezesha kuandika chochote Hapa, muda huu Ni ushauri kwa mwanamuziki Diamond Platinumz napenda kumshauri aache kutumia Jina Dangote kwani alianza kulitumia Baada ya bilionea Huyo wa kinigeria kuja kuwekeza Tanzania.
Raisi Magufuli amekiri kua yeye Ni maskini kuliko Dangote Tena amekiri mbele ya vyombo vya Habari sasa msanii wetu nguli Hilo Jina Achana nalo tumia Jina lako la kawaida la kisanii kwa kua maji ya Dangote Ni marefu hata trump hafiki .
HahahahahaNa ww unajizalilisha kujiita AROVERA tafta jingine tu.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Na ww unajizalilisha kujiita AROVERA tafta jingine tu.
Jamani si jina tuuWasalam kwenu nyote.
Kwanza namshukuru Allah walau kwa kuniwezesha kuandika chochote Hapa, muda huu Ni ushauri kwa mwanamuziki Diamond Platinumz napenda kumshauri aache kutumia Jina Dangote kwani alianza kulitumia Baada ya bilionea Huyo wa kinigeria kuja kuwekeza Tanzania.
Raisi Magufuli amekiri kua yeye Ni maskini kuliko Dangote Tena amekiri mbele ya vyombo vya Habari sasa msanii wetu nguli Hilo Jina Achana nalo tumia Jina lako la kawaida la kisanii kwa kua maji ya Dangote Ni marefu hata trump hafiki .
Good AnswerNa ww unajizalilisha kujiita AROVERA tafta jingine tu.
Nikweli dangote ni tajiri zaidi ya trumpunapoongea kitu kwenye social networks tujaribu kuongea kwa facts,,huwezi sema dangote tajiri kuliko Trump ikaingia akilini pia husikashifu kitu cha kwenu jua wa nje hatokithamini kamwe so tunajishusha wenyewe
Source; jarida la forb .Nikweli dangote ni tajiri zaidi ya trump
Dangote net wealth ni 11 bil usd
Trump net wealth ni 3.7bil usd
Hutaki auunapoongea kitu kwenye social networks tujaribu kuongea kwa facts,,huwezi sema dangote tajiri kuliko Trump ikaingia akilini pia husikashifu kitu cha kwenu jua wa nje hatokithamini kamwe so tunajishusha wenyewe