Wasalam kwenu nyote,
Kwanza namshukuru Allah walau kwa kuniwezesha kuandika chochote hapa, muda huu ni ushauri kwa mwanamuziki Diamond Platinumz napenda kumshauri aache kutumia Jina Dangote kwani alianza kulitumia baada ya bilionea huyo wa kinigeria kuja kuwekeza Tanzania.
Raisi Magufuli amekiri kua yeye ni maskini kuliko Dangote tena amekiri mbele ya vyombo vya habari sasa msanii wetu nguli hilo jina achana nalo tumia jina lako la kawaida la kisanii kwa kua maji ya Dangote ni marefu hata trump hafiki.
Kwanza namshukuru Allah walau kwa kuniwezesha kuandika chochote hapa, muda huu ni ushauri kwa mwanamuziki Diamond Platinumz napenda kumshauri aache kutumia Jina Dangote kwani alianza kulitumia baada ya bilionea huyo wa kinigeria kuja kuwekeza Tanzania.
Raisi Magufuli amekiri kua yeye ni maskini kuliko Dangote tena amekiri mbele ya vyombo vya habari sasa msanii wetu nguli hilo jina achana nalo tumia jina lako la kawaida la kisanii kwa kua maji ya Dangote ni marefu hata trump hafiki.