Diamond kujiita Dangote unajidhalilisha tafuta jina jingine

Diamond kujiita Dangote unajidhalilisha tafuta jina jingine

Hivi ni kweli anajiita Dangote au ni watu tu wamemtungia?
 
cb65bed8570e94107bfc3afb225d4071.jpg
 
Hata boss wa Chelsea hafikii utajiri wa Dangote real Dangote
 
Utashambuliwa na baadhi ya wanaume wasiojitambua wao ni me au ke, mara wamwite simba, chibu dangota, baba tee kama wanapumuliwa
Alafu wana PHD ya matusi . .
Hahaha
 
Wasalam kwenu nyote.
Kwanza namshukuru Allah walau kwa kuniwezesha kuandika chochote Hapa, muda huu Ni ushauri kwa mwanamuziki Diamond Platinumz napenda kumshauri aache kutumia Jina Dangote kwani alianza kulitumia Baada ya bilionea Huyo wa kinigeria kuja kuwekeza Tanzania.

Raisi Magufuli amekiri kua yeye Ni maskini kuliko Dangote Tena amekiri mbele ya vyombo vya Habari sasa msanii wetu nguli Hilo Jina Achana nalo tumia Jina lako la kawaida la kisanii kwa kua maji ya Dangote Ni marefu hata trump hafiki .


AnajidhLilisha au anamdhalilisha dangote
 
Wasalam kwenu nyote.
Kwanza namshukuru Allah walau kwa kuniwezesha kuandika chochote Hapa, muda huu Ni ushauri kwa mwanamuziki Diamond Platinumz napenda kumshauri aache kutumia Jina Dangote kwani alianza kulitumia Baada ya bilionea Huyo wa kinigeria kuja kuwekeza Tanzania.

Raisi Magufuli amekiri kua yeye Ni maskini kuliko Dangote Tena amekiri mbele ya vyombo vya Habari sasa msanii wetu nguli Hilo Jina Achana nalo tumia Jina lako la kawaida la kisanii kwa kua maji ya Dangote Ni marefu hata trump hafiki .
Akili ndogo inakusumbua
 
unapoongea kitu kwenye social networks tujaribu kuongea kwa facts,,huwezi sema dangote tajiri kuliko Trump ikaingia akilini pia husikashifu kitu cha kwenu jua wa nje hatokithamini kamwe so tunajishusha wenyewe
Kwa taarifa yako Aliko Dangote ni tycoon balaa, Trump atangoja sana. Dangote ni Tajiri wa 51 duniani na Trump ni wa 324 duniani. Range ya 273. Dangote ni noma, Proudly of Black Color (Ngozi Nyeusi) pia Dangote ni Tajiri kuliko Roman Abramovich (mmiliki wa Chelsea Fc).
Dangote ana utajiri wa USD 15.4 Billion, ---- 51 Duniani
Abramovich ana utajiri wa USD 7.6 Billion, ---- 151 Duniani
Trump USD 4.5 Billion ----- 324 Duniani
Dangote Si Mtu wa Sport Sport.
Chanzo: Forbes 2016
 
unapoongea kitu kwenye social networks tujaribu kuongea kwa facts,,huwezi sema dangote tajiri kuliko Trump ikaingia akilini pia husikashifu kitu cha kwenu jua wa nje hatokithamini kamwe so tunajishusha wenyewe
Ni tajiri kuliko ukiunganisha utajir wa trump na abromivick hiyo ni fact according to forbes
 
Hata kirefu cha lebo yake WCB..
Wasafi Classic Baby..
Huwa kinachekesha..!!!
Elimu.. Elimu.. Elimu.. Elimu.
Yani kaweza kubadili hilo neno linalokuchekesha kuwa brand. Kuna watu wana makampuni yana majina mazuri lakini hayana nguvu kama wcb.
Katika biashara na marketing ni kuwafanya watu kitu cha kawaida waone cha thamani hata kama cha kipuuzi.
Elimu elimu elimu... jamaa hajasoma lakini ameweza kufanya na kuingiza ela kuliko wenye hiyo elimu na si ajabu kawaajili wengi waliomzidi elimu
 
Back
Top Bottom