Uchaguzi 2020 Diamond kukataliwa kupanda jukwaa kuu iwe fundisho, Rais aheshimiwe

Uchaguzi 2020 Diamond kukataliwa kupanda jukwaa kuu iwe fundisho, Rais aheshimiwe

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Leo kwenye uzinduzi wa kampaini za chama dume hapa Dodoma wasanii wote wakubwa walioimba kablaa ya hotuba ya mgombea walipangiwa jikwaa lao tena mbali kidogo na jukwaa kuu na alianza Konde boy akatumbuiza bila kufika jukwaa kuu kisha akaja ally kiba naye akafuta ustarabu ishu ikaja kwa huyu diamond aliharibu protocol nadhani hakujua sababu ya kuwekwa majukwaa mawili .


Nimeona kama alitaka kujikweza baada ya kuona ameshangikiwa sana akataka kupanda mlango wa kwanza akazuiwa akazuga kisha akahamia mwingine nako akazuiwa akaishia kupewa mkono kwa mbali na rais Kikwete ikabidi awe baridi tu avunge asepe .

Kuna haja ya wasanii wetu na watanzania kutambua kuwa rais ni cheo kipana sana na kikuu mno hivyo waheshimu na wajue mipaka yao


USSR
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]FiestaCCM...CCM bila ya wasanii uwanjani ni sawa na chai bila ya sukari.

Eti Domo sijui kataka kupanda stage ya nani..blah blah kibao. Nonsense.

Kampeni ya siasa inapogeuka kuwa vua vua:

 
Back
Top Bottom