chase amante
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 5,599
- 2,115
Rais ni taasisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa ndefu sanaHivi wanalipwa kweli? Unaweza kuta wanaunga mkono juhudi tu
Leo kwenye uzinduzi wa kampaini za chama dume hapa Dodoma wasanii wote wakubwa walioimba kablaa ya hotuba ya mgombea walipangiwa jikwaa lao tena mbali kidogo na jukwaa kuu na alianza Konde boy akatumbuiza bila kufika jukwaa kuu kisha akaja ally kiba naye akafuta ustarabu ishu ikaja kwa huyu diamond aliharibu protocol nadhani hakujua sababu ya kuwekwa majukwaa mawili .
Nimeona kama alitaka kujikweza baada ya kuona ameshangikiwa sana akataka kupanda mlango wa kwanza akazuiwa akazuga kisha akahamia mwingine nako akazuiwa akaishia kupewa mkono kwa mbali na rais Kikwete ikabidi awe baridi tu avunge asepe .
Kuna haja ya wasanii wetu na watanzania kutambua kuwa rais ni cheo kipana sana na kikuu mno hivyo waheshimu na wajue mipaka yao
USSR
Ko hadi kampeni zinaisha kwa hawa top3 Aly,Harmo na Mond kila mmoja anaweza kusanya kiasi kischopungua 500 m. Au ndo yale ya Fiesta?Pesa ndefu sana
Unataka kumfanya nini mwenzako aisee?
Hivi Magu mbona kama hampendi diamond kiaina. Yaani hata kuna siku eti mpaka jina kasahau anaitwa nani.
TRUE SAID MKUU 100%Leo kwenye uzinduzi wa kampaini za chama dume hapa Dodoma wasanii wote wakubwa walioimba kablaa ya hotuba ya mgombea walipangiwa jikwaa lao tena mbali kidogo na jukwaa kuu na alianza Konde boy akatumbuiza bila kufika jukwaa kuu kisha akaja ally kiba naye akafuta ustarabu ishu ikaja kwa huyu diamond aliharibu protocol nadhani hakujua sababu ya kuwekwa majukwaa mawili .
Nimeona kama alitaka kujikweza baada ya kuona ameshangikiwa sana akataka kupanda mlango wa kwanza akazuiwa akazuga kisha akahamia mwingine nako akazuiwa akaishia kupewa mkono kwa mbali na rais Kikwete ikabidi awe baridi tu avunge asepe .
Kuna haja ya wasanii wetu na watanzania kutambua kuwa rais ni cheo kipana sana na kikuu mno hivyo waheshimu na wajue mipaka yao
USSR
Hivi Magu mbona kama hampendi diamond kiaina. Yaani hata kuna siku eti mpaka jina kasahau anaitwa nani.
Umeisha andaa kitanda ili Mr alale ?Si ulale tu
Yeah nakumbuka. Ukintajia incident nyingine ya upendo kama hiyo utanibadilisha mawazo nlokua nayo.Nikukumbushe tu aliwahi kumpigia simu akiwa ana perform Kigoma akamwambia "Diamond kweli wewe ni mwanaume".