Uchaguzi 2020 Diamond kukataliwa kupanda jukwaa kuu iwe fundisho, Rais aheshimiwe

Uchaguzi 2020 Diamond kukataliwa kupanda jukwaa kuu iwe fundisho, Rais aheshimiwe

Leo kwenye uzinduzi wa kampaini za chama dume hapa Dodoma wasanii wote wakubwa walioimba kablaa ya hotuba ya mgombea walipangiwa jikwaa lao tena mbali kidogo na jukwaa kuu na alianza Konde boy akatumbuiza bila kufika jukwaa kuu kisha akaja ally kiba naye akafuta ustarabu ishu ikaja kwa huyu diamond aliharibu protocol nadhani hakujua sababu ya kuwekwa majukwaa mawili .


Nimeona kama alitaka kujikweza baada ya kuona ameshangikiwa sana akataka kupanda mlango wa kwanza akazuiwa akazuga kisha akahamia mwingine nako akazuiwa akaishia kupewa mkono kwa mbali na rais Kikwete ikabidi awe baridi tu avunge asepe .

Kuna haja ya wasanii wetu na watanzania kutambua kuwa rais ni cheo kipana sana na kikuu mno hivyo waheshimu na wajue mipaka yao


USSR

WEKA KA PICHA
 
Hivi Magu mbona kama hampendi diamond kiaina. Yaani hata kuna siku eti mpaka jina kasahau anaitwa nani.

kweli ?[emoji1787] Jiwe yeye anajipendaga yeye tu,tafuta ule uzi watu wametililika private life yake humu,wanadai hata kwake anawapeleka ki JKT
 
Leo kwenye uzinduzi wa kampaini za chama dume hapa Dodoma wasanii wote wakubwa walioimba kablaa ya hotuba ya mgombea walipangiwa jikwaa lao tena mbali kidogo na jukwaa kuu na alianza Konde boy akatumbuiza bila kufika jukwaa kuu kisha akaja ally kiba naye akafuta ustarabu ishu ikaja kwa huyu diamond aliharibu protocol nadhani hakujua sababu ya kuwekwa majukwaa mawili .


Nimeona kama alitaka kujikweza baada ya kuona ameshangikiwa sana akataka kupanda mlango wa kwanza akazuiwa akazuga kisha akahamia mwingine nako akazuiwa akaishia kupewa mkono kwa mbali na rais Kikwete ikabidi awe baridi tu avunge asepe .

Kuna haja ya wasanii wetu na watanzania kutambua kuwa rais ni cheo kipana sana na kikuu mno hivyo waheshimu na wajue mipaka yao


USSR
TRUE SAID MKUU 100%
 
Hivi Magu mbona kama hampendi diamond kiaina. Yaani hata kuna siku eti mpaka jina kasahau anaitwa nani.


Nikukumbushe tu aliwahi kumpigia simu akiwa ana perform Kigoma akamwambia "Diamond kweli wewe ni mwanaume".
 
Chama Cha wachaga (Chadema) na nyie si muweke wasanii mbna mnalia lia au hela za kuwapa hamna mchangiwe?...😅 af wewe uliyemuita Diamond Domo, sura yako imekaa kama kipoozeo cha pombe kenge wewe...😅.
 
Nikukumbushe tu aliwahi kumpigia simu akiwa ana perform Kigoma akamwambia "Diamond kweli wewe ni mwanaume".
Yeah nakumbuka. Ukintajia incident nyingine ya upendo kama hiyo utanibadilisha mawazo nlokua nayo.
Yaani 'harmonizer' kama anavimuita akiperform mkulu lazima asimame au ajitingishe. Ila kwa diamond dah
 
Back
Top Bottom