Uchaguzi 2020 Diamond kukataliwa kupanda jukwaa kuu iwe fundisho, Rais aheshimiwe

Hasira tu kwasababu juzi kati alikuwa na Mo mliyemteka. Gari la Manji kuoshwa na mashabiki wa Yanga yenyewe ilikuwa shida😀🤦🏾‍♂️
 
Watu mna macho ya bundi, yaani kila point ya matukio mnaona na kurekodi
 
Hivi Magu mbona kama hampendi diamond kiaina. Yaani hata kuna siku eti mpaka jina kasahau anaitwa nani.
 
Wajinga ni CCM Diamond amekula mihela yake sasahiv anaihesabu, ana hasara gani?

We unadhani anajali chochote?

Wewe tu ndo unapiga domo, mtu ameshavuna pesa za wajinga, unadhani kupanda jukwaa la Rais kungemuongezea nini cha ziada?
Uko sahihi
 

Fiestaccm sasa hivi hamna hoja mmebaki kujadili burudani na wasanii, badala uzungumze mambo ya nchi na ule utapeli wa ajira 8m, unaongea watu kupanda jukwaani la rais! Ingekuwa ni rais wa US si ungepata heart attack kabisa.
 
Na hili ndo tukio kubwa uwanjani Jana kuliko uzinduzi wa kampeni zenu za kishamba.
 
Mikutano ya Chadema inawadodea huko sijui taarifa hizo mnazo??
 
Anayedhalilisha Cheo cha u Raisi ni Jiwe wenu anayewapigia Simu akina Diamond Usiku wa Manane wakiwa kwenye stage za starehe
 
Wajinga ni CCM Diamond amekula mihela yake sasahiv anaihesabu, ana hasara gani?

We unadhani anajali chochote?

Wewe tu ndo unapiga domo, mtu ameshavuna pesa za wajinga, unadhani kupanda jukwaa la Rais kungemuongezea nini cha ziada?
Hivi wanalipwa kweli? Unaweza kuta wanaunga mkono juhudi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…