pnkuru
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 283
- 182
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ...we jamaa bana "muhuni" sana khaaHuyo jamaa najua stories zake A to Z mwanzo nilijua wanamuwangia huyo mama kumbe ni kweli amepagawa na muhuni mzama chumvini mama hasikii haoni sijui kama hampelekei moto nyuma[emoji23][emoji23], maana mchizi mwenyewe ni muhuni tu msaka tonge ameamua ku infiltrate ngome kupitia weakness na ushamba wa huyo mama