Tetesi: Diamond kumjengea bonge la jumba na kumpa baadhi ya mali zake baba yake wa kambo

[emoji23] [emoji23] [emoji23] ...we jamaa bana "muhuni" sana khaa
 
Familia nyingine bhana.... Nawaza ingekuwa n mama yangu nahama bara nakimbilia bara lingine......
 
Hawawezi kuandikwa sababu mama yake hajafanya upumbafu kama alio ufanya huyu mama Dai....
 
Na wewe alivyokugonga ukataka akununulie gari ndiyo alivyokwambia kwanza ,uza hilo lako la zaman then nikuongezee Pesa ununue jipya???
Mtagongwa sana tu na tamaa zenu,kumbafuu....
 
Kuwa na mama kama huyu ni mzigo kwa mtoto
 
Nasikia jamaa ni zungu LA unga,, , limekuja kufata mtaji,,, DADA mange kasema
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ hivi hizi habari mnazitoa wapi? maana ni za siri sana. Nimeamini kuna viumbe hai na visivyo hai.
 
Huyu maza,alisemwa sana kuhusu kupenda serengeti boys,watu wakatoka povu, hata salama aliwahi muuliza diamond kwny intrv wakati huo habar hzi zilikua hazija kick
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…