Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MI kwa kwel lemutuz nimeanza kumjulia humu binamu, yy nae kumbe ni celebrity? Mcheza filamu au muimbaj n yeye
Diamond na wema ni celebrities kama walivyo ma celebrity wengine
Huyu anaforce ucelebrity...umaarufu wake mwisho insta, jf na kwa demu wake sintah....Kariakoo tu hajulikani...!
Kwa kuongezea ni King of Chawaputa.....
Nimeiona binamu, hahaaa umenichekesha, ngoja nakuja uko soon
Habari mpya zinasema kuwa bado moyo wa Diamond Platnumz umemzimikia msanii wa muziki wa kizazi kipya mwenye figa matata Meninah licha ya wawili hao kukanusha mara kadhaa.
Inadaiwa kuwa Diamond kupitia watu wake wa karibu na wasiri wake anafanya juu chini kumpan gishia Meninah nyumba ya kifahari aidha maeneo ya Mikocheni au Mbezi beach jijini Dar es salaam ili Meninah ajue ni kaisi gani moyo wake hauna hali juu yake na pia kumnunulia gari la kutembelea ili asijisikie vibaya baada ya kumnunulia Wema !
Habari zaidi zinadai kuwa Diamond ambaye umaarufu wake mwaka huu umevuka mipaka ya nchini nyingi bado anaona Meninah anafaa kuwa mke wake kuliko Wema Sepetu, Na kwa mujibu wa vyanzo inadaiwa hata gari alilompa Wema Sepetu kama zawadi hivi karibuni kwenye birthday yake ilikuwa ni kutaka media na wafuatilia mambo ya watu hususani mastaa wanyamaze wakidhani Diamond hapindui wala hapumui kwa Wema Sepetu ila Meninah ndiye anadaiwa kumuweza Diamond ndani ya moyo wake.
Hiyo asali tamu baada ya kuwa maarufu na kujua kuoga na kupaka mikorogo ?
Asituchoshe apa umbea anaupenda halafu anajishaua, akafie mbele uko
Hivi huyu alifia wapi baadaye hii kiki kufa nikasikia ameolewa ndiyo ikawa mwisho kumsikia paka leoNapita kujisomea ya kale
Kweli aliwacheza wanawake dana dana tangu zamani
Hivi huyu alifia wapi baadaye hii kiki kufa nikasikia ameolewa ndiyo ikawa mwisho kumsikia paka leo
Ngoja niende nyumbani kwao instar nitampata tuHata sifahamu