Diamond kumwekea dhamana Romy Jones na Petit man?

Yaani uyu dada siku zote nilikuwa nikimfatilia na kuamini ,ila hili la wema kwakweli nimemvuwa thamani,
Yaan hoja alizokuwa anamtetea wema hazina kichwa wala miguuu ,Simpondi wema hapana wala kufurahia kilichomkuta hapana ,

ila mange alishindwa kujenga hoja za msingi juu ya makonda ,kilichokuwa kinaendelea ,kwavile wema ni wake basi kwa gharama zozote angemtetea hata kama angekutwa na kosa
 
eti wamtume komandoo marekani! au usa siku hizi imekua sinza
 
very true
umeyajua lini hayo? wakati anamtukana lowasa lumumba nzima mlikuwa mnashangilia!
Unafiki huu sijui mtaacha lini?
 
Hilo janamke ni ongo kweli
 
very true
Nilichogundua uyu dada amejiona ameaminika na watu kwahiyo akisema chochote watu watamwamini,

Pia nilichogundua kuna shida katika wafuasi wake wanashindwa kuchambua ,yaan lolote analose mange basi wanalibeba ,wanasahau naye binaadamu ana madhaifu yake ,na huwenda wakati mwingine akatumia chance ya watu kumwamini akapandikiza yasokuwemo
 
Alibadilisha tena uongo wake eti petiti hawez kukaa,je hapo kachuchumaa?
 
Si mnaona petit alivyopindisha mkono walimuumiza kwapani.
 
Reasoning capacity ya wabongo wengi ni finyu hadi kumfanya mange awe reliable source kweli? Angalia mivoice note yake inavyomtesa wema,
 
Ukiona mtu anagombana na kila mtu basi jua anamatatizo , mtakumbuka kuanzia ile kampeni yake ya kutaka voda wamtose mond ilivyoenda vibaya hadi leo dogo anapiga mzigo na voda na watamuongezea mkataba soon
 
Sasa hiyo picha inathibisha nini kama hakupigwa?? Elimu, Elimu,Elimu.....
 
kama alivyopandikiza kwa lowasa na lumumba nzima wakamsifia na kumwamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…