Diamond kumwekea dhamana Romy Jones na Petit man?

Diamond kumwekea dhamana Romy Jones na Petit man?

Mange anakua mbaya akitoa habari zakuiumiza fisiem lakini akitoa za cdm mishiopa huwa inawasimama utadhan wanywaji wa chang'aa. Mange wape zaidi maana hata nyuzi za makongo, Dubai na USA wengine hatukua tunazijua.
 
Mwanadada Mange Kimambi Mtanzania toka Los Angels Aliandika kwamba Petit man ambaye ametuhumiwa na uuzaji na utumiaji madawa. Lakini Mange Kimambi nimeona screenshots kwa whatsapp akisema Huyo Petit man wakuache amepigwa sana na Makonda kuanzia nyumbani kwake mpaka kituo cha polisi cha kati lakini leo nimeona video inayomuonesha Huyo ajiitaye Petit man akitembea vizuri tu je Anadanganya???View attachment 468185


Ulitaka apigwe hadharani ili ujuwe kuwa kapigwa au?
 
Mimi huwa simlaumu Mange bali huwa nawapa lawama wanao muamini wakati wengi wanajua ni chizi tena huitaji kumpima.
Mange huropoka yale ambayo wengi wengependa kuyasikia kwa kipindi husika ndio maana wengi humuamini sana.
Mtu anaye amini habari za Mange anapaswa kufungwa kamba na kupimwa akili kwa lazima.
Hapa nakuunga mkono. Mimi pia huwa nawashangaa sana wale waumini wake. Kama ninavyowadharau waumini wa Mzee wa UPAKO!
 
Mwanadada Mange Kimambi Mtanzania toka Los Angels Aliandika kwamba Petit man ambaye ametuhumiwa na uuzaji na utumiaji madawa. Lakini Mange Kimambi nimeona screenshots kwa whatsapp akisema Huyo Petit man wakuache amepigwa sana na Makonda kuanzia nyumbani kwake mpaka kituo cha polisi cha kati lakini leo nimeona video inayomuonesha Huyo ajiitaye Petit man akitembea vizuri tu je Anadanganya???View attachment 468185


Vipi ombi lake la wakili msando kuwasimamia hao watuhumiwa limetimia halijatimia? Vipi wazo lake la kumpinga makonda kuwa anakamata dagaa hakina adoptiwa bungeni na wanaccm na ukawa?

Usipompenda Mange jijue akili zako na tabia sawa na Masogange
 
uyo kah ba aliyeko marekani divorce ilishamchanganya hana analolielewa

Hivi kwa nini unaona raha kutukana watu bila saababu? Huna vocabulary sahihi ya kusema kistaarabu? Kama ndivo nina mashaka na makuzi yako. Unajua maana yake?
 
Jitu flan malaya liko marekani linatumiwa umbea kwenye simu eti mnaliamini, Huyo Malaya si anapokea udaku tu hata wewe ukimtumia anapost, anajihakikishaiaje wakati yupo marekani.

Kwanza nawaza yani Serikali yote hii huwa anaitusi na viongozi wake, anawavua nguo, mnashindwa kutuma hata komamdoo mmoja tu wale wanaotuoneshaga mbwembwe Taifa wamlete huyu kenge?

Yani mnaweza mkamata Tundu Lissu na akili zake na alie madini katika nchi. Godbless lema kiongozi mwakilishi wa wananchi anaeota ndoto mnashindwa mkamata Malaya flani anaewavua nguo kweli?

Hao interpol kazi yao ni nn? Au Huyu bibi sio mchochezi

Sitaki kuamini mmemshindwa.
Umeongea pointi tupu ndugu
 
Mange ndiye aliyesababisha WEMA aendelee kunya kwenye debe mpaka leo.

Zile VN alizozibandika kwenye page yake jana ndio zimesababisha WEMA asuburishwe ili kumuandalia charge mpya!

Kwa ajili ya MANGE kukosa busara kamsababishia mwenzie kesi mpya ambayo inaweza kumuweka Lupango!
 
Chanzo cha habari kinaitwa mange alafu kipo marakani kwa tbc haipo Hadi uminini huyo mange
 
Huyu Mange kwenye ishu ya madawa simuelewi kabisa kila wakati huko Insta yupo Wema wema mpaka anakera
 
Vipi ombi lake la wakili msando kuwasimamia hao watuhumiwa limetimia halijatimia? Vipi wazo lake la kumpinga makonda kuwa anakamata dagaa hakina adoptiwa bungeni na wanaccm na ukawa?

Usipompenda Mange jijue akili zako na tabia sawa na Masogange
Ulitaka apigwe hadharani ili ujuwe kuwa kapigwa au?
Kinachoshangaza ni kundi kubwa la wanaume Kuwa mashabiki wa Msema ovyo Mange.
 
Back
Top Bottom