Jitu flan malaya liko marekani linatumiwa umbea kwenye simu eti mnaliamini, Huyo Malaya si anapokea udaku tu hata wewe ukimtumia anapost, anajihakikishaiaje wakati yupo marekani.
Kwanza nawaza yani Serikali yote hii huwa anaitusi na viongozi wake, anawavua nguo, mnashindwa kutuma hata komamdoo mmoja tu wale wanaotuoneshaga mbwembwe Taifa wamlete huyu kenge?
Yani mnaweza mkamata Tundu Lissu na akili zake na alie madini katika nchi. Godbless lema kiongozi mwakilishi wa wananchi anaeota ndoto mnashindwa mkamata Malaya flani anaewavua nguo kweli?
Hao interpol kazi yao ni nn? Au Huyu bibi sio mchochezi
Sitaki kuamini mmemshindwa.