BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
Hana lolote anatafuta kiki tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi naomba tu iwe tetesi maana watatutesaje akina mama ubaya? Uwiii ntaficha uso wangu wapi mie warumi hater namba moja wa ndomo na mama ubaya, mungu aniepushie mbal na hii aibu iendelee kuwa tetes tu
Mkuu mtumishi unaye muongelea hapa ni nani?Biblia INASEMA ole wao wanaokashifu watumishi wa bwana..,wabongo ni mahaters Sana
Hummer model hiyo hazina bei kubwa pia hilo la gwajima halina kodi bei ikizidi sana 40m
Hummer model hiyo hazina bei kubwa pia hilo la gwajima halina kodi bei ikizidi sana 40m
Ha ha huyajui magari jomba,taja model husika. Hummer toleo la kwanza 1992-2002 ni H1,,Hiyo gari kiwanda kilitoa offer ya kuzirudisha kiwandani 2006 mpaka leo. Na ukiirudisha hata ikiwa chuma chakavu unapewa parcent yako. Toleo lililofuata ni Hummer H2 (2002 kuendelea) ndio wabongo wanazo wanazo,, H3 hii hizi ndio wenda unaziona kwenye luninga. Maana mastaa wa marekani wanauza nazo sura sana.
Kwa sasa wametoa Hummer HX ndio hiyo anayo CR7.
Unaposikia hummer,,hummer na bei yake basi tambua unazungumzia Garichuma na ndio sifa yake kubwa. Waambie na wenzio
Mkuu hummer y gwajima h2 bei yake hata 80m kuna mtu alileta lastyr kwa 75m tena hpo wajanja wameshachukua chao
dangote ana hela nyingi sana...wiki iliyopita kuna nyumba kanunua masaki milioni 650 ila itatangazwa very soon wakati akitambulisha hiyo hummer ambayo kainunua kwa milion 185
Mkuu mtumishi unaye muongelea hapa ni nani?
ajenge na nyumba sasa
Tatizo huyu Diamond hashauriki..Nahisi malengo yake ni kushindana na Ali k...nk
Labda iwe tetesi kama ni kweli nitamuona wa ajabu sana..
kuna vitu katika maisha inabidi Kuvipa priority. sa ye show off kibao
sijui ka ana mradi gani wowote tofaut na kazi yake ya kuimba.
ajenge na nyumba sasa
dangote ana hela nyingi sana...wiki iliyopita kuna nyumba kanunua masaki milioni 650 ila itatangazwa very soon wakati akitambulisha hiyo hummer ambayo kainunua kwa milion 185