Diamond Kununua Private Jet Ndani ya Mwaka Huu (2014)

Duh kwa alivyokuwa anaishi mmmh ndoto hiyo lazima iliishia kwenye ushauri wa his ex zaidi juu ya vigodoro dances.
 
Lazima uwe na lengo, kutimia au kutotimia ni suala lingine.
Huku napita tu lakini kuna vichwa maji wengi.

Ni kweli mkuu.
Hata mimi lengo langu siku moja niinunue ile nyumba nyeupe pale magogoni. Nikiinunua niikarabati halafu niipangishe kama ofisi ya Marais.
 

mkuu...Where there is a will , there is always a way!....ukiiga watu wengine siyo sahihi,tunatofautiana kimalengo....mtu kama Warren Buffet pamoja na kuwa ni tajiri katika top level kabisa....hajawahi kumiliki gari wala nyumba yeyote ya kifahari na ndege labda anakodi au alilazimika kununua sababu ya business zake.....ila mtu kama tyson na other blacks of the same type walihalikikisha/huwa wanahakikisha wananunua chochote kilichokuwa kwenye ndoto zao kuanzia majumba , magari nk hata kama hawayatumii.....
 
Gharama ya hiyo ndege si chini ya 25m us$!!! Karne nzima atasubiri.
 
Labda anunue zile za kilimo anga zile za kuulia viwavi apo ataota sio leo.
 
Gharama ya hiyo ndege si chini ya 25m us$!!! Karne nzima atasubiri.

Hio sio issue. Operation yake ndio inaumiza ,kuanzia parking,take off and landing fees, mafuta,crew,inter nation sijui nini na nini.... Kuwa na ndege ni mzigo bora uwe na charter.
Bill gates hana ndege wala buffett and these guys are the richest for years.
 


Ivi unajua thamani ya ndege?? Mpk ndomo aweze kuwa nayo? Sio makalio hayo
 
watanzania kwa majungu salute kwenu! wengine wanaume wazima hapa hata miswaki hamjapiga bussy kupika jungu kumzidi sele bonge, bora lake lauzika, yenu je???? mfyuuuuuuu! bebeni sembe na nyie kama rahisi!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…