Diamond Kununua Private Jet Ndani ya Mwaka Huu (2014)

Diamond Kununua Private Jet Ndani ya Mwaka Huu (2014)

Kuna kipind niliwaona riz na ndomo kwa kina lulu walikuwa na Benz nyeus, cjui ubest wao uliishia wapi maana apa town kuna mambo

Nasikia kuna mtu alikuwa anaonesha kisogo binamu
 
Kama ujenzi wa nyumba tu, unamtesa leo aje atuambie kununua gulfstream? awadanganye wenzie si sio watoto
 
Huu uzi umepitwa na wakati...
Halafu mwanzo aanze na kununua magari ya kifahari kwanza kama anaweza
 
Almasi atakua ameota amenunua mafuta ya jet aweke kwenye prado lake badala ya petrol au diesel
 
Back
Top Bottom