Diamond Kununua Private Jet Ndani ya Mwaka Huu (2014)

Diamond Kununua Private Jet Ndani ya Mwaka Huu (2014)

Ulinzi ? Utokee wapi? Napitag hakuna cha walinz wala mmasai getin kwanza mtaa mzima nyumba yake ndo uchafu muulizeni heaven on desert maana hata kuipiga picha hajawahi kazi kupiga kwenye mahotel ya watu



Hahahahah halafu humu haishi kutuambia tuna wivu huyo dogo mjinga sana hajui watu tunaishi kwenye bangaloo zetuu? Basi viumbe wake ndo hawaishi kutangaza kuwa nyumbani kwa boss wao kuna Ultimate security yakufa MTU.....
 
Last edited by a moderator:
Ulinzi ? Utokee wapi? Napitag hakuna cha walinz wala mmasai getin kwanza mtaa mzima nyumba yake ndo uchafu muulizeni heaven on desert maana hata kuipiga picha hajawahi kazi kupiga kwenye mahotel ya watu

Wafanyakaz washaenda wapiii? ?kuna kipindi hadi majiran zake walimlalamikia kwa uchafu!!!
 
Last edited by a moderator:
Si nasikia kuna ulinzi wa rais hautii mguu sasa ulinzi wote huo unaozidi wa ikulu we ulisogeleajee..hahahah ndomo bana

Mmmhh mbona nyumba yenyewe ya kawaida tu huo ulinzi utoke wapiiii
 
Apartment apate wapi, na show zimegoma, mademu wa mjini hawaelewi kama haingizi hela tena, wanajua kutumia tu, na nyumba itaendelea kusimama, kukopa hawezi sababu alimponda Alli Kiba, Riz1 aka m mind, ILA alimkaribisha akakope.


Huyo rz1 si alikuwaga anamhonga kwanini hakumpa nyumba kabisa?

Akili za wasanii wetu huwa nazifananishaga na kuku tetea akipigwa jiwe anakimbia lakini baada ya dakika 2 anarud hapohapo kula mtama hahaha
 
Akinunua ndege! Maprofesor na wanasiasa wote wataacha uprofessor watakuwa wanamuziki!
 
Nikasema nichungulie nione yaliyomo kama yamo, kwa kweli pa kawaida ukilinganisha na tambo zake mitaani maana fenci hata rangi haijapakwa, hata nyumba anayokaa lulu haifikii , huyu super star wetu hatar , siku nikipita nitapiga picha binamu niilete humu

Haya utaturushiaaa mwayaaa tuipimeee hiv anatoka mwez wa 6 hiyo nyumbaa au siku anahama binamu yaan niite hata kwa kipaza sautii
 
Jamani mwenye kujua kwake sikumoja aipige picha nje tuione tumechoka kelele.
 
kashindwa kununua gari lile la chief kiumbe ambalo thamani yake ni mil 250 nadhani ndege itakua mil 50 hiv
 
Huyo rz1 si alikuwaga anamhonga kwanini hakumpa nyumba kabisa?

Akili za wasanii wetu huwa nazifananishaga na kuku tetea akipigwa jiwe anakimbia lakini baada ya dakika 2 anarud hapohapo kula mtama hahaha

Kuna kipind niliwaona riz na ndomo kwa kina lulu walikuwa na Benz nyeus, cjui ubest wao uliishia wapi maana apa town kuna mambo
 
Back
Top Bottom