qn of sheba
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,230
- 1,380
Yale yale ya kukarabati nyumba yakupanga na kuweka vikorokoro wakati huna hata kiwanja lmao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wanaowabebesha sembe wao wenyewe hawa jeuri hiyo sembuse huyu dogo?
Jaribuni kutofautisha kati ya Private jet na charter plane.
Mbona alipo kwa back ground yake amearchive pakubwa sana? ninachokataa mimi ni haya mashauzi ya kuzungumzia Private Jet hizi ni daylight dream na ukitaka kuamini hilo Google hizo private jet ujionee bei zake.
kuna vitu basic kabisa bado hajafanya halafu analeta mashauzi yake hapa? hivi unadhani Mengi, Manji, Rostam and likes unadhani hawapendi kuwa na hizo private jet? huu ujinga ni vizuri akiwa anashare na mazuzu wenzake hukohuko Instagram lakini siyo kuleta hapa kwa makini.
Utawaweza watz ..kwanza hiyo post ina week ngapi sijui insta..na ndoto zake ni siku moja amiliki private jet,hajasema mwaka huu anannunua na inaweza ikatimia pia
kwa miaka 4 iliyopita
kipindi analipwa elfu 1500 kwenye kibarua..enzi hizo angesemandoto zake aje amiliki
gari si angeonekana kichekesho>??
lakin now kwake kununua gari ni kawa anaenda kununua ndala kariakoo
..so kila kitu kinawezekana
Jamani huyu kaka muongo, nyooo maneno yote haya kumbe anasoma, lione
Yale yale ya kukarabati nyumba yakupanga na kuweka vikorokoro wakati huna hata kiwanja lmao.
Diamond anunue jet wakati V8 imemshinda, nyumba kumalizia issue, maneno meengi kumbe anavuda wadada wamchangamkie, ajifunze kwa Masanja haongei ni vitendo tu. LMAO
Tumechoka binamu aiseeh , hata mirad ya maana hana maana tungejua tu, nyumba yenyewe kumalizia ishu nasikia anapigaga picha nyumba yake sehemu tofauti tofaut halaf anadanganya ana nyumba nyingi jaman utoto huu, Mimi nina mashaka hata hyo nyumba anayojenga kama ni yake
Yale yale ya kukarabati nyumba yakupanga na kuweka vikorokoro wakati huna hata kiwanja lmao.
Kwa hiyo big boss alifanganya alivyoseama amempa ile v8?
Uwazea kununua gari huku nyumba umepanga hizo akili matope
ana mbwembwe hatar, kuna siku nilipita kwake alipopanga nikakuta wanacheza ngololo na ma dancer wake c nikaanza kuchungulia walau nipate habar, yani umbea huu mwaka nisipomwagiwa tindali Sijui.
ana mbwembwe hatar, kuna siku nilipita kwake alipopanga nikakuta wanacheza ngololo na ma dancer wake c nikaanza kuchungulia walau nipate habar, yani umbea huu mwaka nisipomwagiwa tindali Sijui.
Tumechoka binamu aiseeh , hata mirad ya maana hana maana tungejua tu, nyumba yenyewe kumalizia ishu nasikia anapigaga picha nyumba yake sehemu tofauti tofaut halaf anadanganya ana nyumba nyingi jaman utoto huu, Mimi nina mashaka hata hyo nyumba anayojenga kama ni yake
Si nasikia kuna ulinzi wa rais hautii mguu sasa ulinzi wote huo unaozidi wa ikulu we ulisogeleajee..hahahah ndomo bana
Umenichekeshaa hahhhahha duuu mpaka ukachunguliaaa angaliaa binamu utamwagiwaa tindikali sie tukose uhondo humuu!!!!
Si nilisikia ana apartments anapangisha?