Diamond Kununua Private Jet Ndani ya Mwaka Huu (2014)

Diamond Kununua Private Jet Ndani ya Mwaka Huu (2014)

Wanaume tunapata hela kwa kuvuja jasho sasa unafikiria almasi n ---- akate kiuno peke yke then ampangie madam jumba wakti yeye amepanga? Naona ilikua sound 2 n madam ameona bora aliwe kwa credit bora liende.
Atoe gundu la 2014 mana mabalaa yalikua mengi
 
Wanaume tunapata hela kwa kuvuja jasho sasa unafikiria almasi n ---- akate kiuno peke yke then ampangie madam jumba wakti yeye amepanga? Naona ilikua sound 2 n madam ameona bora aliwe kwa credit bora liende.
Atoe gundu la 2014 mana mabalaa yalikua mengi

Hahhhhhhahhha eti kwa kukata kiuno tu duuuuu
 
Private jet ndogo kabisa ya kubeba watu watano mpaka nane inagharimu $3 up 8milion hvo kama akinunua hyo ya bei rahisi sana ya 3million ni kama billion 4.8 sawa na million 4800, na hapo ni gharama ya kununua tu, gharama za uendeshaji kama fuel, pilot na insurance ni zaidi ya $100,000 sawa na zaidi ya million 160 kwa mwaka, pado parking ya airport eheee! Basi anatisha ila nasikia nyumba ya million 200 bado inamsumbua, maamae ndoto za ukweli hzi, mhttps://au.answers.yahoo.com/question/index?qid=20070729193513AAp3M4H
 
attachment.php


Haya yote yamedhihirishwa wazi kwenye ukurasa waka wa IG yaani instagram kwa kuweka picha ya ndege na gari la kifahari na kuandika "Tuseme Inshaallah... #2014 #JusWaitAndSee #KwaniWaoWamewezaje #HadiWeUshindwe #WCB for life Darling....!" akimaanisha ya kwamba mafans wake wakae mkao wa kula na wajionee maajabu na kwamba ile gari ya pesa chafu landcruisser v8 aliyonunua si kitu akisingiziwa na haters eti kakodishwa na chief kiumbe,

OK so kiuffupi ni kwamba itabidi tumpe support kijana wetu wa tz aifanye hii ndoto iwe kweli maana ikitokea hivi sio siri atakua miongoni mwa wasanii waliojipatia mafanikio kuzidi tunavyofikiria

Toa comment kama una nyongeza..
Labda nitabahatika japo kuwa mfagizi kwenye hiyo ndege ya Diamond
 
ana mbwembwe hatar, kuna siku nilipita kwake alipopanga nikakuta wanacheza ngololo na ma dancer wake c nikaanza kuchungulia walau nipate habar, yani umbea huu mwaka nisipomwagiwa tindali Sijui.

Hahahaahaha
 
Hi post ilinichekesha sana mimi nlijua ananunua mafuta y jet pale puma aweke kwenye prado yke
 
Chibu anajua kukomesha wambea hatari kaz yake kutupia tu picha mengine tutajijazia
 
Lazima uwe na lengo, kutimia au kutotimia ni suala lingine.
Huku napita tu lakini kuna vichwa maji wengi.
 
Back
Top Bottom