Diamond Kununua Private Jet Ndani ya Mwaka Huu (2014)


Mrejesho
 
kaishia kujenga kajumba kwenye maeneo yasiyopimwa..mivumoni madale
 
Niambie Nani Anakuudhi??
Allah Nimtafute Binafsi...salt![emoji6] [emoji6]
Unajua maana ya neno Allah au umeandika bahati mbaya?

If yes or no naomba ufanye marekebisho plyz
 
Mnafikiri private jet ni kama ndala ehee?? Kwamba kila mtu anaweza kuafford tu.

Labda afungue na kanisaa awaibie sadaka weeee ndio aweze kununua hiyo private jet
 
Unajua maana ya neno Allah au umeandika bahati mbaya?

If yes or no naomba ufanye marekebisho plyz
Oook Sory Mkuu Naona umemaanisha kiimani zaidi...nilikuwa namaanisha Alaaa....yaani Kushtushwa na jambo Flani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…