Mitha
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 704
- 1,013
[emoji23] aiseeWenye madeni yao kwa Taifa wameinywa Private Jet ya Mondi.......huu ni uonezi
Bring back......Mondi's Private Jet.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] aiseeWenye madeni yao kwa Taifa wameinywa Private Jet ya Mondi.......huu ni uonezi
Bring back......Mondi's Private Jet.
![]()
Haya yote yamedhihirishwa wazi kwenye ukurasa waka wa IG yaani instagram kwa kuweka picha ya ndege na gari la kifahari na kuandika "Tuseme Inshaallah... [HASHTAG]#2014[/HASHTAG] [HASHTAG]#JusWaitAndSee[/HASHTAG] [HASHTAG]#KwaniWaoWamewezaje[/HASHTAG] [HASHTAG]#HadiWeUshindwe[/HASHTAG] [HASHTAG]#WCB[/HASHTAG] for life Darling....!" akimaanisha ya kwamba mafans wake wakae mkao wa kula na wajionee maajabu na kwamba ile gari ya pesa chafu landcruisser v8 aliyonunua si kitu akisingiziwa na haters eti kakodishwa na chief kiumbe,
OK so kiuffupi ni kwamba itabidi tumpe support kijana wetu wa tz aifanye hii ndoto iwe kweli maana ikitokea hivi sio siri atakua miongoni mwa wasanii waliojipatia mafanikio kuzidi tunavyofikiria
Toa comment kama una nyongeza..
Mpaka sasa 2018
kaishia kujenga kajumba kwenye maeneo yasiyopimwa..mivumoni madale
Jitume acha malalamiko yasio na tija.Inshallah...
Kwahiyo H.O.D ataanza kupiga picha akiwa ndani ya ndege?!
tutamkoma wallah hayo mapicha humu tutakimbia jukwaa....
AY?Kila lenye heri........
yule anaejifunza urubani sijui nae yake itakuja lini
Nenda China ukachukue uje kuuza na wewe.Kweli sembe inalipa !!
huwezi kujenga hekalu kwenye mitaa isiyopimwaHekalu unaliita kajumba?
huwezi kujenga hekalu kwenye mitaa isiyopimwa
umeona malalamiko hapo, acha ufalah broJitume acha malalamiko yasio na tija.
Niambie Nani Anakuudhi??umeona malalamiko hapo, acha ufalah bro
Unajua maana ya neno Allah au umeandika bahati mbaya?Niambie Nani Anakuudhi??
Allah Nimtafute Binafsi...salt![emoji6] [emoji6]
Mnafikiri private jet ni kama ndala ehee?? Kwamba kila mtu anaweza kuafford tu.
Labda afungue na kanisaa awaibie sadaka weeee ndio aweze kununua hiyo private jet
Oook Sory Mkuu Naona umemaanisha kiimani zaidi...nilikuwa namaanisha Alaaa....yaani Kushtushwa na jambo Flani!Unajua maana ya neno Allah au umeandika bahati mbaya?
If yes or no naomba ufanye marekebisho plyz