playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,648
- 1,566
Kaka msamehe..huenda kamaanisha atanunua hiyo gar swma huyu nyumbu mleta mada kakimbia had kupitiliza nyumban hahahaMbona alipo kwa back ground yake amearchive pakubwa sana? ninachokataa mimi ni haya mashauzi ya kuzungumzia Private Jet hizi ni daylight dream na ukitaka kuamini hilo Google hizo private jet ujionee bei zake.
kuna vitu basic kabisa bado hajafanya halafu analeta mashauzi yake hapa? hivi unadhani Mengi, Manji, Rostam and likes unadhani hawapendi kuwa na hizo private jet? huu ujinga ni vizuri akiwa anashare na mazuzu wenzake hukohuko Instagram lakini siyo kuleta hapa kwa makini.
Punguza jazba kaka wasamehe hahahaaaHakuna cha samahani huyu mtoto anadhani Private jet ni kama kushika mitako ya Wema Sepetu easily! !
Punguza jazba kaka wasamehe hahahaaa
Umenikumbusha kamchezo fln kautotoni unfunga macho wenzako wanaenda kujificha wote, then wewe unasema tayari bado, ukisikia tayar unafumbua macho unaenda msako sasa.Tayari bado?
hahaaa. unabii huu!!tusiwe na akili mgando, tuzungumze kwa facts. anaposema 2014 that means he dreams to buy it in 2014 which will always be a dream.
tuangalie facts;
kipato chake kikubwa ni shows na ubalozi wa makampuni.
sidhan kama amewah kufanya show akalipwa zaidi ya 40mil. sasa let me assume this year atakuwa analipwa 50m which is likely to be impossible.
within a year nampa kila siku awe anapiga show moja that means 365 shows (ambayo kama ikitokea atakuwa kavunja rekodi ya dunia).
that means atakuwa kapata kama 18.2bil ambayo sidhan kama inaweza ikanunua hiyo jet.
kwa uwezo wake wa sasa hata akipewa tu hiyo jet awe anaihudumia jasho la meno litamtoka.
AHADI: Kama ndani ya miaka mitano ataweza kununua hiyo jet ntakunya vifungu vidogo vidogo hapa hadi chalinze mzee
Umenikumbusha kamchezo fln kautotoni unfunga macho wenzako wanaenda kujificha wote, then wewe unasema tayari bado, ukisikia tayar unafumbua macho unaenda msako sasa.
Tayar bado?
Private jet kwa investment gani aliyonayo?anadhani private jet ni kukata mauno hadharani.
Haya yote yamedhihirishwa wazi kwenye ukurasa waka wa IG yaani instagram kwa kuweka picha ya ndege na gari la kifahari na kuandika "Tuseme Inshaallah... #2014 #JusWaitAndSee #KwaniWaoWamewezaje #HadiWeUshindwe #WCB for life Darling....!" akimaanisha ya kwamba mafans wake wakae mkao wa kula na wajionee maajabu na kwamba ile gari ya pesa chafu landcruisser v8 aliyonunua si kitu akisingiziwa na haters eti kakodishwa na chief kiumbe,
OK so kiuffupi ni kwamba itabidi tumpe support kijana wetu wa tz aifanye hii ndoto iwe kweli maana ikitokea hivi sio siri atakua miongoni mwa wasanii waliojipatia mafanikio kuzidi tunavyofikiria
Toa comment kama una nyongeza..
coz possible but iyo ndege aliyopost in very expensive coz hiyo ni gulf stream ya Davido tu enyew (bombardier Challenger) cost u$ 21mil sawa na tsh 52.5 bill ana pesa but hivo vitu siyo virahisi
Haya yote yamedhihirishwa wazi kwenye ukurasa waka wa IG yaani instagram kwa kuweka picha ya ndege na gari la kifahari na kuandika "Tuseme Inshaallah... #2014 #JusWaitAndSee #KwaniWaoWamewezaje #HadiWeUshindwe #WCB for life Darling....!" akimaanisha ya kwamba mafans wake wakae mkao wa kula na wajionee maajabu na kwamba ile gari ya pesa chafu landcruisser v8 aliyonunua si kitu akisingiziwa na haters eti kakodishwa na chief kiumbe,
OK so kiuffupi ni kwamba itabidi tumpe support kijana wetu wa tz aifanye hii ndoto iwe kweli maana ikitokea hivi sio siri atakua miongoni mwa wasanii waliojipatia mafanikio kuzidi tunavyofikiria
Toa comment kama una nyongeza..
coz possible but iyo ndege aliyopost in very expensive coz hiyo ni gulf stream ya Davido tu enyew (bombardier Challenger) cost u$ 21mil sawa na tsh 52.5 bill ana pesa but hivo vitu siyo virahisi
Depend on model like g550 g600 g650Gulf Stream cost how much?
Depend on model like g550 g600 g650
Unit cost usd mill 48.25(2012) usd mill 61.5 (2017)G550
Nakumbusha tu huu mwaka 2019 toka 2014 imepita miaka 5.