Diamond Kununua Private Jet Ndani ya Mwaka Huu (2014)

Diamond Kununua Private Jet Ndani ya Mwaka Huu (2014)

Mbona alipo kwa back ground yake amearchive pakubwa sana? ninachokataa mimi ni haya mashauzi ya kuzungumzia Private Jet hizi ni daylight dream na ukitaka kuamini hilo Google hizo private jet ujionee bei zake.

kuna vitu basic kabisa bado hajafanya halafu analeta mashauzi yake hapa? hivi unadhani Mengi, Manji, Rostam and likes unadhani hawapendi kuwa na hizo private jet? huu ujinga ni vizuri akiwa anashare na mazuzu wenzake hukohuko Instagram lakini siyo kuleta hapa kwa makini.
Kaka msamehe..huenda kamaanisha atanunua hiyo gar swma huyu nyumbu mleta mada kakimbia had kupitiliza nyumban hahaha
 
tusiwe na akili mgando, tuzungumze kwa facts. anaposema 2014 that means he dreams to buy it in 2014 which will always be a dream.
tuangalie facts;
kipato chake kikubwa ni shows na ubalozi wa makampuni.
sidhan kama amewah kufanya show akalipwa zaidi ya 40mil. sasa let me assume this year atakuwa analipwa 50m which is likely to be impossible.
within a year nampa kila siku awe anapiga show moja that means 365 shows (ambayo kama ikitokea atakuwa kavunja rekodi ya dunia).
that means atakuwa kapata kama 18.2bil ambayo sidhan kama inaweza ikanunua hiyo jet.
kwa uwezo wake wa sasa hata akipewa tu hiyo jet awe anaihudumia jasho la meno litamtoka.
AHADI: Kama ndani ya miaka mitano ataweza kununua hiyo jet ntakunya vifungu vidogo vidogo hapa hadi chalinze mzee
hahaaa. unabii huu!!
 
attachment.php


Haya yote yamedhihirishwa wazi kwenye ukurasa waka wa IG yaani instagram kwa kuweka picha ya ndege na gari la kifahari na kuandika "Tuseme Inshaallah... #2014 #JusWaitAndSee #KwaniWaoWamewezaje #HadiWeUshindwe #WCB for life Darling....!" akimaanisha ya kwamba mafans wake wakae mkao wa kula na wajionee maajabu na kwamba ile gari ya pesa chafu landcruisser v8 aliyonunua si kitu akisingiziwa na haters eti kakodishwa na chief kiumbe,

OK so kiuffupi ni kwamba itabidi tumpe support kijana wetu wa tz aifanye hii ndoto iwe kweli maana ikitokea hivi sio siri atakua miongoni mwa wasanii waliojipatia mafanikio kuzidi tunavyofikiria

Toa comment kama una nyongeza..
Private jet kwa investment gani aliyonayo?anadhani private jet ni kukata mauno hadharani.
 
attachment.php

Haya yote yamedhihirishwa wazi kwenye ukurasa waka wa IG yaani instagram kwa kuweka picha ya ndege na gari la kifahari na kuandika "Tuseme Inshaallah... #2014 #JusWaitAndSee #KwaniWaoWamewezaje #HadiWeUshindwe #WCB for life Darling....!" akimaanisha ya kwamba mafans wake wakae mkao wa kula na wajionee maajabu na kwamba ile gari ya pesa chafu landcruisser v8 aliyonunua si kitu akisingiziwa na haters eti kakodishwa na chief kiumbe,
OK so kiuffupi ni kwamba itabidi tumpe support kijana wetu wa tz aifanye hii ndoto iwe kweli maana ikitokea hivi sio siri atakua miongoni mwa wasanii waliojipatia mafanikio kuzidi tunavyofikiria
Toa comment kama una nyongeza..
coz possible but iyo ndege aliyopost in very expensive coz hiyo ni gulf stream ya Davido tu enyew (bombardier Challenger) cost u$ 21mil sawa na tsh 52.5 bill ana pesa but hivo vitu siyo virahisi
 
Hivi hizo gari alizowanunulia Mama yake, Baba wa Kambo plus Demu wake ni kweli au Katupiga changa la macho??

Nasema changa la macho kwa sababu kuu 3..

1. Kama ni kweli alinunua hizo gari kwa ajiri ya Mama yake na Mke wake mbona hizo gari hazina Number za Usajiri kutoka TRA? Maana kama zingekua na number za usajiri watu wangechungulia TRA pale kujua majina ya card kwenye hizo gari

2. Mbona kadi za magari hatukuziona?? Maana kadi ya gari ndiyo mchawi mwenyewe,lakini gari zimepigwa picha tu na wala hatukuonyeswa kadi za gari kama alivyofanya kwa Marehemu Ngulumo pindi kampa gari?

3. Mbona hatukuona hata funguo za gari? Yaan Mondi anamkabidhi funguo mke wake au mama yake? Yaan hatukuona hata mama yake au demu wake wakifungua milango ya magari nakukaa ndani nakupiga picha??

Kusema na ukweli kwa upande wangu... Hili ni changa la moto tu... Wazungu wanamsemo wao (Time will tell)
 
coz possible but iyo ndege aliyopost in very expensive coz hiyo ni gulf stream ya Davido tu enyew (bombardier Challenger) cost u$ 21mil sawa na tsh 52.5 bill ana pesa but hivo vitu siyo virahisi

Gulf Stream cost how much?
 
Back
Top Bottom