Diamond Kununua Private Jet Ndani ya Mwaka Huu (2014)

Diamond Kununua Private Jet Ndani ya Mwaka Huu (2014)

Singida ndio home

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
3,188
Reaction score
3,370
attachment.php


Haya yote yamedhihirishwa wazi kwenye ukurasa waka wa IG yaani instagram kwa kuweka picha ya ndege na gari la kifahari na kuandika "Tuseme Inshaallah... #2014 #JusWaitAndSee #KwaniWaoWamewezaje #HadiWeUshindwe #WCB for life Darling....!" akimaanisha ya kwamba mafans wake wakae mkao wa kula na wajionee maajabu na kwamba ile gari ya pesa chafu landcruisser v8 aliyonunua si kitu akisingiziwa na haters eti kakodishwa na chief kiumbe,

OK so kiuffupi ni kwamba itabidi tumpe support kijana wetu wa tz aifanye hii ndoto iwe kweli maana ikitokea hivi sio siri atakua miongoni mwa wasanii waliojipatia mafanikio kuzidi tunavyofikiria

Toa comment kama una nyongeza..
 

Attachments

  • dp.png
    dp.png
    205.8 KB · Views: 9,596
Hao wanaowabebesha sembe wao wenyewe hawa jeuri hiyo sembuse huyu dogo?

Jaribuni kutofautisha kati ya Private jet na charter plane.

nitofautishie wewe

unajua kila mtu anakuwa na malengo katika maisha lakin si lazima ulipangalo litimie

but ile kind of thinking kwamba I want to do this and this ni nzuri atleast unaonekana una focus
 
View attachment 138978

Haya yote yamedhihirishwa wazi kwenye ukurasa waka wa i.g yaani instagram kwa kuweka picha ya ndege na gari la kifahari na kuandika "Tuseme Inshaallah... #2014 #JusWaitAndSee #KwaniWaoWamewezaje #HadiWeUshindwe #WCB for life Darling....!" akimaanisha ya kwamba mafans wake wakae mkao wa kula na wajionee maajabu na kwamba ile gari ya pesa chafu landcruisser v8 aliyonunua si kitu akisingiziwa na haters eti kakodishwa na chief kiumbe, OK so kiuffupi ni kwamba itabidi tumpe support kijana wetu wa tz aifanye hii ndoto iwe kweli maana ikitokea hivi sio siri atakua miongoni mwa wasanii waliojipatia mafanikio kuzidi tunavyofikiria

toa comment kama una nyongeza.........

Kwa hiyo big boss alifanganya alivyoseama amempa ile v8?
Uwazea kununua gari huku nyumba umepanga hizo akili matope
 
Inshallah...
Kwahiyo H.O.D ataanza kupiga picha akiwa ndani ya ndege?!
tutamkoma wallah hayo mapicha humu tutakimbia jukwaa....

Haaha Mwl Evelyn Salt una viruko sana aiseee!
Alaf nime kutafuta mtaani kwako pale bila mafanikio sijui ulikwenda wapi?
Nyc to see you.
 
Last edited by a moderator:
nitofautishie wewe

unajua kila mtu anakuwa na malengo katika maisha lakin si lazima ulipangalo litimie

but ile kind of thinking kwamba I want to do this and this ni nzuri atleast unaonekana una focus

Mbona alipo kwa back ground yake amearchive pakubwa sana? ninachokataa mimi ni haya mashauzi ya kuzungumzia Private Jet hizi ni daylight dream na ukitaka kuamini hilo Google hizo private jet ujionee bei zake.

kuna vitu basic kabisa bado hajafanya halafu analeta mashauzi yake hapa? hivi unadhani Mengi, Manji, Rostam and likes unadhani hawapendi kuwa na hizo private jet? huu ujinga ni vizuri akiwa anashare na mazuzu wenzake hukohuko Instagram lakini siyo kuleta hapa kwa makini.
 
Inshallah...
Kwahiyo H.O.D ataanza kupiga picha akiwa ndani ya ndege?!
tutamkoma wallah hayo mapicha humu tutakimbia jukwaa....

Haaha Mwl Evelyn Salt una vituko sana aiseee!
Alaf nime kutafuta mtaani kwako pale bila mafanikio sijui ulikwenda wapi?
Nyc to see you.
 
Last edited by a moderator:
Mbona alipo kwa back ground yake amearchive pakubwa sana? ninachokataa mimi ni haya mashauzi ya kuzungumzia Private Jet hizi ni daylight dream na ukitaka kuamini hilo Google hizo private jet ujionee bei zake.

kuna vitu basic kabisa bado hajafanya halafu analeta mashauzi yake hapa? hivi unadhani Mengi, Manji, Rostam and likes unadhani hawapendi kuwa na hizo private jet? huu ujinga ni vizuri akiwa anashare na mazuzu wenzake hukohuko Instagram lakini siyo kuleta hapa kwa makini.

it make sense
 
Mbona alipo kwa back ground yake amearchive pakubwa sana? ninachokataa mimi ni haya mashauzi ya kuzungumzia Private Jet hizi ni daylight dream na ukitaka kuamini hilo Google hizo private jet ujionee bei zake.

kuna vitu basic kabisa bado hajafanya halafu analeta mashauzi yake hapa? hivi unadhani Mengi, Manji, Rostam and likes unadhani hawapendi kuwa na hizo private jet? huu ujinga ni vizuri akiwa anashare na mazuzu wenzake hukohuko Instagram lakini siyo kuleta hapa kwa makini.

labda amechanganya....itakuwa zile CARAVAN ambazo unaweza kupata kwa $50,000 scrapper a.k.a flying coffin
 
Back
Top Bottom