Acha wivu na kupotosha watu kama huna evidenceKumbe chibu pafyumu zake ni mkakati wa free mason <br /><br />Yale maji ya maiti yamechanganywa na damu za paka na binadamu <br /><br />Kwa mtu atakaye tumia atakuwa ananyonywa damu bila kujua na baada ya muda ataandamwa na mikosi .
Wenye akili wamekuelewaDiamond hana pesa ya kufungua hospitali ya moyo. Ila anaweza akatumiwa kama chambo na wale jamaa wa gms
Una uhakika unalolisema? Hiyo issue ilikuwa solved as |Diamond alikuwa anampa mtu fulani alizila pesa sasa anapeleka mwenyewe!Kuna dogo Diamond aliahidi kumlipia ada ya shule baada ya kucheza nyimbo yake vizuri ila mpaka leo wazazi wa dogo na mkuu wa shule wanalia ada haijalipwa mwaka sasa.
Ohoooo!!!Kuna dogo Diamond aliahidi kumlipia ada ya shule baada ya kucheza nyimbo yake vizuri ila mpaka leo wazazi wa dogo na mkuu wa shule wanalia ada haijalipwa mwaka sasa.
Sio poa kuchafua biashara za watu jembe unauhakika na hicho ulichoandika.Kumbe chibu pafyumu zake ni mkakati wa free mason <br /><br />Yale maji ya maiti yamechanganywa na damu za paka na binadamu <br /><br />Kwa mtu atakaye tumia atakuwa ananyonywa damu bila kujua na baada ya muda ataandamwa na mikosi .
Unaua biashara ya mtu[emoji569]Kumbe chibu pafyumu zake ni mkakati wa free mason <br /><br />Yale maji ya maiti yamechanganywa na damu za paka na binadamu <br /><br />Kwa mtu atakaye tumia atakuwa ananyonywa damu bila kujua na baada ya muda ataandamwa na mikosi .
Yule mtoto aliyeahidi kumsomesha bado anaendelea na shuleAcheni ushamba watu maarufu huanzisha na kufanya vitu kama hivyo vya kijamii kupitia foundation zao. Hata akiwa tu hata na 20 percent ya gharama zote. Jambo litakwisha tu. Matajiri wapo wanasubiri ukianzisha tu.
Nakungwa wasu.Kumbe chibu pafyumu zake ni mkakati wa free mason <br /><br />Yale maji ya maiti yamechanganywa na damu za paka na binadamu <br /><br />Kwa mtu atakaye tumia atakuwa ananyonywa damu bila kujua na baada ya muda ataandamwa na mikosi .
Mbona katika maelezo yake ameeleza wazi kuna wadau kutoka nje ya Nchi watamsaidia sasa nyinyi msichoelewa hapo nini mpaka mseme haiwezekani?Diamond hana pesa ya kufungua hospitali ya moyo. Ila anaweza akatumiwa kama chambo na wale jamaa wa gms
Vyote nduguYeye kasema anajenga hospital.. Ili awarahisishie wanainchi.. Sasa tena anasema kaongea na wadau mbali mbali wampe VIFAA...HIVI.. HOSPITAL NI VIFAA au JENGO?
Vifaa....ndy muhimu sio majrngo mkuuVyote ndugu
Yeye ana foundation??Acheni ushamba watu maarufu huanzisha na kufanya vitu kama hivyo vya kijamii kupitia foundation zao. Hata akiwa tu hata na 20 percent ya gharama zote. Jambo litakwisha tu. Matajiri wapo wanasubiri ukianzisha tu.
Mungu anakuona ujuee[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hospital ya Moyo Tandale?
Ukitoka kwny Matibabu ya Moyo unarudi home na Kipindupindu!