GoPPiii.
JF-Expert Member
- Oct 6, 2014
- 1,792
- 3,075
Mnaobisha bisha na kudis anachjaribu kufanya ndo mliosomeshwa na wazaz wenu hamjawanunulia hata vitenge na mashati wazazi wenu...
Kisichowezekana nn hata akina JK wamemaliza uraisi wanafungua foundation zao lkn kunakuwa kuna sponsors wanawezesha kwa asilimia flan,..
Punguzeni majungu,roho mbaya,fitina,choyo,uchawi,wivu,maana akishindwa diamond sio kwamba ninyi mtaweza????
Kisichowezekana nn hata akina JK wamemaliza uraisi wanafungua foundation zao lkn kunakuwa kuna sponsors wanawezesha kwa asilimia flan,..
Punguzeni majungu,roho mbaya,fitina,choyo,uchawi,wivu,maana akishindwa diamond sio kwamba ninyi mtaweza????