Ndo kawaida yake kukimbia nyuzi zake, nyuzi nyingi zake zinafeli kwa sababu ya ugoro anaoandikaga lakini still ajifunzi.😂😂😂maaammaeeh walai!mwenye siredi ndukii😂🚶🏿🚶🏿🚶🏿🚶🏿
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo kawaida yake kukimbia nyuzi zake, nyuzi nyingi zake zinafeli kwa sababu ya ugoro anaoandikaga lakini still ajifunzi.😂😂😂maaammaeeh walai!mwenye siredi ndukii😂🚶🏿🚶🏿🚶🏿🚶🏿
Kuna aina nne za usafiri mkuuHujui ndio maana hujui wewe ni mbumbumbu
Wafanyakazi wa clouds mnashidaSiku zote clouds huanza,wengine huiga
Hakuna asiyejua kuwa clouds ndo kila kitu bongo hasa katika burudani,hao wasafi ni watoto wadogo sana...ni heri basi hata kiss fm,RFA,times au E-fm
Wasafi is overrated,lakini hawana cha maana kuwazidi E-fm,times,radio 5,ebony fm ukiiacha choice fm
Halafu nilishasema domo hakuna kitu anaweza kufanya ye mwenyewe bila kuiga sehemu
Hiyo ni laivu bila chenga,na huwezi kupingaWafanyakazi wa clouds mnashida
Siku zote clouds huanza,wengine huiga
Hakuna asiyejua kuwa clouds ndo kila kitu bongo hasa katika burudani,hao wasafi ni watoto wadogo sana...ni heri basi hata kiss fm,RFA,times au E-fm
Wasafi is overrated,lakini hawana cha maana kuwazidi E-fm,times,radio 5,ebony fm ukiiacha choice fm
Halafu nilishasema domo hakuna kitu anaweza kufanya ye mwenyewe bila kuiga sehemu
We mvumilie tu mtoa mada labda anatatizo la akili.Sasa ameiga nini
Kama huoni alichokiiga kwa jambo rahisi kama hili,basi hautoona vingine,
wewe ndo mpuuzi kabisa hapo kaiga nini?Hujui ndio maana hujui wewe ni mbumbumbu
Clouds chama kubwa kama hutaki kalale
Aah aah aah! Na Uzi kaususa😁😁😁Kwa lugha nyepesi mwenye thread Mimi nasema wana jf wamekukataa😀😀
Kama huoni alichokiiga kwa jambo rahisi kama hili,basi hautoona vingine,