Huyu bwana mdogo ni msanii mkubwa kabisa kibongo bongo na kiafrika but kitu kimoja tu ananiacha hoi ni vile kupenda kupiga picha na mastar wa mbele. Sijui anaonaga sifa?
Mimi kwangu naona kama ushamba tu hivi coz cjaona msanii yyt wa kibongo au A list ya wasanii Africa wakifanya huo ushamba
Mfano tu mzuri King Kiba kafanya ngoma hadi na kina R Kelly lkn hana hizo ...anakera kweli
Mimi kwangu naona kama ushamba tu hivi coz cjaona msanii yyt wa kibongo au A list ya wasanii Africa wakifanya huo ushamba
Mfano tu mzuri King Kiba kafanya ngoma hadi na kina R Kelly lkn hana hizo ...anakera kweli