mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Kaa chini. Uisikilize vizuri. Kuna demu Leo kanichomolea imekuwa ni nyimbo yangu ya siku nzima. Sikomi.Wapi! Hata ile aliyokopi tu ya Saida Karoli is much better.
Duh....mapya hata! Yaani muziki inabidi ukae chini kuusikiliza ndio ujue kama mzuri ama la.Kaa chini. Uisikilize vizuri. Kuna demu Leo kanichomolea imekuwa ni nyimbo yangu ya siku nzima. Sikomi.
LOVE THEM.Asiwapigie rafiki zangu..niacheee....nasema niacheeeee....Ntakudanganya kwa tabasamu..ntakudanganya kwa kulikie picha..
wanasema kitanda ukitandika lazima ukilalie..
kijana unajua sana. hata ukistaafu..umeufanyia makubwa mziki wa wetu. sidai sana.
leo kinyumbani nyumbani...
Hebu sikiliza mabalaa hayo...mtaani wa pili mpo..joking
1-
2-
Kumbe hilo umeliona. Nikajua peke yangu. Ukweli ni kwamba namkubali sana jamaa na style yake ya kulalamika.Marudio ya melodies za awali alichofanya ni kuweka mashairi mapya lakini kwenye melody hana kipya
Melody ya nyimbo zipi mkuu ni vyema ukatoa hint... ila all in all huyu jamaa anajituma katika kazi zake ni nyimbo nzuri zanasikilizika biigup kwakeMarudio ya melodies za awali alichofanya ni kuweka mashairi mapya lakini kwenye melody hana kipya
Inategemea na msikilizaji anachukua maudhui katika angle ipi... Kuna cha kujifunza inaweza kuwa kijembe but kwa namna ujumbe unavyofikishwa bado msikilizaji ukavutiwa kusikiliza tena na tena....wewe ndio umeleta tuchangie sasa usitarajie kusifia tuu !! na ukifuatilia maudhui ya nyimbo zenyewe yamejaa vijembe kama taarabu sasa kwa msanii mwenye muono wa nyimbo zake kupenya anga la kimataifa ni tatizo kubwa. Ndio mwanzao wa kufulia kifani kwani nyimbo za vijembe huwa hazidumu na wala hazieleweki kwa mtu asiyeijua lugha ile. Sasa mfano mtu anataka kuandika subtitles za kiingereza uli umma wa kimataifa wajue ni nini msanii huyu mkubwa afrika ametunga utaandika nini?
Mtaani wa pili ndo mtaa upi huo[/QUOTE
safisha kamandaKweli umeandika uchafu
Niya local sio internationalwewe ndio umeleta tuchangie sasa usitarajie kusifia tuu !! na ukifuatilia maudhui ya nyimbo zenyewe yamejaa vijembe kama taarabu sasa kwa msanii mwenye muono wa nyimbo zake kupenya anga la kimataifa ni tatizo kubwa. Ndio mwanzao wa kufulia kifani kwani nyimbo za vijembe huwa hazidumu na wala hazieleweki kwa mtu asiyeijua lugha ile. Sasa mfano mtu anataka kuandika subtitles za kiingereza uli umma wa kimataifa wajue ni nini msanii huyu mkubwa afrika ametunga utaandika nini?
Izo ni hit za nyumbani c za kimataifa
LOVE THEM.
Pure unadulterated, clear, DIAMOND. More valuable than GOLD or PLATINUM.
We need to find a new element in the Periodic Table more valuable than these for this young brother, Naseeb Abdul.
Dogo umeuhakikishia umaarufu wako duniani milele. Umekwishawasikia wakina:
* Mozart
* Bach
* Chopin
* Pavarotti
* Julio Iglesias
* Salim Abdallah
* Mbaraka Mwinshehe
............
Maybe not.
Lakini wewe ni zaidi.
Asante Mungu kwa kuzaliwa Tanzania.
Weka na wewe zakwako za zamani tulinganisheMarudio ya melodies za awali alichofanya ni kuweka mashairi mapya lakini kwenye melody hana kipya
Kwa huu wivu wako, ukichokibakiza ni kunywa sumu tu ukufewewe ndio umeleta tuchangie sasa usitarajie kusifia tuu !! na ukifuatilia maudhui ya nyimbo zenyewe yamejaa vijembe kama taarabu sasa kwa msanii mwenye muono wa nyimbo zake kupenya anga la kimataifa ni tatizo kubwa. Ndio mwanzao wa kufulia kifani kwani nyimbo za vijembe huwa hazidumu na wala hazieleweki kwa mtu asiyeijua lugha ile. Sasa mfano mtu anataka kuandika subtitles za kiingereza uli umma wa kimataifa wajue ni nini msanii huyu mkubwa afrika ametunga utaandika nini?