Diamond kwa sasa hana Baba, ukweli mchungu

Diamond kwa sasa hana Baba, ukweli mchungu

Hakuna shida ila si ni kweli
Hebu tufanye kwako

Nikimtongoza mamako utakubali ikiwa umri tunalingana na wewe?

Najua huwezi kubali basi ndivyo ilivyo


Kuna jamaa wa kuitwa Jomo uswahilini kwetu huko alimpiga mitama mpenzi wa mamaake mzazi akaishia Segerea. Ndugu zake wote wakakataa kumtoa bondi. Akaoza Sega Dance alivyotaka ndio kadata kabisa ye kutwa bangi tu hata viatu havai.

Labda nikuulize swali tu, wewe utamkataaje mpenzi wa bi mkubwa? Yaani story itaanzaje? Nielekeze tu kwa mfano.
 
Kuna jamaa wa kuitwa Jomo uswahilini kwetu huko alimpiga mitama mpenzi wa mamaake mzazi akaishia Segerea. Ndugu zake wote wakakataa kumtoa bondi. Akaoza Sega Dance alivyotaka ndio kadata kabisa ye kutwa bangi tu hata viatu havai.

Labda nikuulize swali tu, wewe utamkataaje mpenzi wa bi mkubwa? Yaani story itaanzaje? Nielekeze tu kwa mfano.
Easy kumkataa haimaanishi kuwa unampiga mitama,
Unakuta hamuongei labda mnapishana tu hizo ni ishara kuwa hautakiwi.

Kuna umri mzazi akifikia hatakiwi kuwa na vibenten either atafute mzee mwenzake atulie ama aliwe kimya kimya na sio kujitangaza na kukaweka ndani kajamaa ...
Hata wewe huwezi kubali najua hilo ,na hata ukikubali lakini wewe na huyo babaako wa kambo mtakuwa maadui
 
Hakuna shida ila si ni kweli
Hebu tufanye kwako

Nikimtongoza mamako utakubali ikiwa umri tunalingana na wewe?

Najua huwezi kubali basi ndivyo ilivyo
Siwezi kuingilia mahusiano ya mzazi wangu..yeye ni mtu mzima na anachokifanya anakijua.
 
Easy kumkataa haimaanishi kuwa unampiga mitama,
Unakuta hamuongei labda mnapishana tu hizo ni ishara kuwa hautakiwi.

Kuna umri mzazi akifikia hatakiwi kuwa na vibenten either atafute mzee mwenzake atulie ama aliwe kimya kimya na sio kujitangaza na kukaweka ndani kajamaa ...
Hata wewe huwezi kubali najua hilo ,na hata ukikubali lakini wewe na huyo babaako wa kambo mtakuwa maadui


Bi mkubwa ana feelings vilevile. Kwanza hiyo ya kuliwa kimyakimya ndio kujivunjia heshima kabisa. Anatakiwa akutane na mtu atakayemuheshimu na kumuonyesha upendo. Hiyo kinyemela ataishia kupigwa cha fasta na walevi walevi tu, maana hao ndio wanataka cha mkwezi wakalale.
Kama unapiga story fresh na bi mkubwa na unaona jamaa yuko poa, kwanini umkasirikie sasa?
 
Mimi mwenyewe sijalelewa na baba na hivyo namwelewa sana na Diamond.

Ila sasa tofauti yangu inakuja hivi, kwanini humtunzi Mzee Abdul halafu unamtunza Uncle Shamte [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anaangalia mtu anayemfanya mama yake afurahi
 
Diamond anachotakiwa ni kuhemshimu Baba yake Tu asije akamvunjia heshima Kwa namna yoyote. Na biblia yetu inasema Mzee Abdul alipaswa kumtunza Diamond na sio Diamond kumtunza. Haya Mambo ya dini ndio yanayofanya wanaume watelekeze watoto maana wanajua huko mbeleni kijana/ binti atarudi Tu baada ya kupiga mistari miwili mitatu ya maandiko.
Mimi mpaka Sasa najiuliza huyo baba analinganaje? Maana mtoto anapokea urithi kwa baba na baba anatakiwa aombe kwa Mungu baraka zake Ili aweze kuhudumia familia yake na siyo mtoto amuhudumie yeye Sasa Kama anashindwa kumuomba Mungu asimame kwenye nafasi yake Kama baba mbona huyo Daimond bado mdogo alitakiwa awe kwenye kutafuta elimu? Sasa yeye Kama baba anafanya nini kwa Sasa Ili watoto wake wale, kuvaa na malazi? Tena anatakiwa amuombe Mungu amubariki mpaka urithi wa wajukuu zake Sasa kwanini anajitia aibu? Hebu ainuke afanye kazi na kusimamia majuku yake, tena Daimond naona kamstahi sana angechukua likizo aende kuishi kwa baba yake ahudumiwe Kila kitu Kama mtoto wake.
 
Diamond anachotakiwa ni kuhemshimu Baba yake Tu asije akamvunjia heshima Kwa namna yoyote. Na biblia yetu inasema Mzee Abdul alipaswa kumtunza Diamond na sio Diamond kumtunza. Haya Mambo ya dini ndio yanayofanya wanaume watelekeze watoto maana wanajua huko mbeleni kijana/ binti atarudi Tu baada ya kupiga mistari miwili mitatu ya maandiko.
Kweli..
 
Diamond hatakiwi kumlalamikia Mzee Abdul kwa kumtelekeza Mama ake.

-Yeye mwnyw nae kamtelekeza mobeto na mwanae
  • yeye mwnyw kamtelekeza TANASHA na mwanae kule Kenya.
  • bado zali na wanae.

Kwaiyo yeye nae DIAMOND, hafai kua baba Bora.

Kama yeye alivolishwa sumu na MAMA AKE,
Asishangae na wanae pia wakilishwa sumu na mama zao.

Maisha ndo yalivyo, AWEKE AKIBA YA MANENO
 
Diamond hatakiwi kumlalamikia Mzee Abdul kwa kumtelekeza Mama ake.

-Yeye mwnyw nae kamtelekeza mobeto na mwanae
  • yeye mwnyw kamtelekeza TANASHA na mwanae kule Kenya.
  • bado zali na wanae.

Kwaiyo yeye nae DIAMOND, hafai kua baba Bora.

Kama yeye alivolishwa sumu na MAMA AKE,
Asishangae na wanae pia wakilishwa sumu na mama zao.

Maisha ndo yalivyo, AWEKE AKIBA YA MANENO
Nalo neno
 
Diamond hatakiwi kumlalamikia Mzee Abdul kwa kumtelekeza Mama ake.

-Yeye mwnyw nae kamtelekeza mobeto na mwanae
  • yeye mwnyw kamtelekeza TANASHA na mwanae kule Kenya.
  • bado zali na wanae.

Kwaiyo yeye nae DIAMOND, hafai kua baba Bora.

Kama yeye alivolishwa sumu na MAMA AKE,
Asishangae na wanae pia wakilishwa sumu na mama zao.

Maisha ndo yalivyo, AWEKE AKIBA YA MANENO


Kila jambo linasababu
 
mzazi ni mzazi tuu. tatizo ni ujinga ujinga anaojazwa bwana naseeb na watu wanaomzunguka ukiwemo mtoa uzi. Diamond ni muislam,na Uislamu hauna mafunzo hayo wala hautoi fikra za namna hiyo kwa waumini wake. kama mshua alizingua kwenye malezi yako na sasa hivi anajutia, ni sawa, kwa sababu binaadamu Tumeumbiw makosa na shetani ndio kiongozi wa msafara huo wa kukosea, aidha kwa bahati mbaya ama kwa kukusudia. na kutubu piah ni sehemu ya maisha yetu, samehe saba Mara sabini... kama naseeb ni muislam na anaishi kwa misingi Ya dini hiyo(😁bt in reality hafuati misingi na taratibu za dini yake) , basi akae chini na ajitafakari juu ya mahusiano yake na Baba yake. mwenye wadhifa timilifu wa hukumu ni Mwenyezi mungu peke yake...


tenda wema kulipia ubaya ..umese
Umesema binadam ukosea , Kwa diamond ni binadam basi nayd mwache akosee , hakuna mkamilifu
 
Back
Top Bottom