Diamond kwisha habari yake

Diamond kwisha habari yake

Ndugu wana celebrities forum.
Nakiri kabisa pamoja na nyimbo za diamond platnum kutrend bwna mdogo inaonyesha jinsi gani ameshuka kiwango kwa spidi kubwa mno.
Nilishasema huko nyuma kwamba anguko la huyu bwna haliko mbali! Na huu ndo mwanzo wa kuelekea shimbo
Nyimbo za hovyo maudhui ya hovyo hazifai kusikiliza na watoto wala wazazi Mara 100 nisikilize rhumba kuliko uchafu wako Mara sijui vumbi, kanyaga sijui midude gani hueleweki!
Unatuharibia mziki wetu! Tunataka pure bongo fleva na sio uharo unaotoa hovyo sana huyu Jamaa siku hizi
thread mbovu kama hizi papia tunazi#K#KANYAGA
 
Haya maneno yalianza Tangu 2013 huko [emoji16]
 
Screenshot_20190704-020711.jpeg
 
Ndugu wana celebrities forum.

Nakiri kabisa pamoja na nyimbo za diamond platnum kutrend bwna mdogo inaonyesha jinsi gani ameshuka kiwango kwa spidi kubwa mno.

Nilishasema huko nyuma kwamba anguko la huyu bwna haliko mbali! Na huu ndo mwanzo wa kuelekea shimbo

Nyimbo za hovyo maudhui ya hovyo hazifai kusikiliza na watoto wala wazazi Mara 100 nisikilize rhumba kuliko uchafu wako Mara sijui vumbi, kanyaga sijui midude gani hueleweki!

Unatuharibia mziki wetu! Tunataka pure bongo fleva na sio uharo unaotoa hovyo sana huyu Jamaa siku hizi


Hilo andiko umeliandika kwa MIHEMUKO ya chuki binafsi, mimi si mpenzi sana wa Bongo fleva, lakini utafurahia vipi anguko la mwenzako kwa namna hiyo??, kakufanya nini??, kwani umelazimishwa kusikiliza miziki yake??, kama wewe hupendi miziki yake wapo mashabiki wake lukuki si Bongo tu bali hata nje ya Bongo. And they make him pays his bills.😁
 
Mtoa Uzi tunakukaribisha tukio kubwa Tanzania, itakuwa tarehe 7/07/2019 siku ya jumapili siku ya sabasaba pale Mlimani City.
Ukamwone usiyempenda.
 
Ndugu wana celebrities forum.

Nakiri kabisa pamoja na nyimbo za diamond platnum kutrend bwna mdogo inaonyesha jinsi gani ameshuka kiwango kwa spidi kubwa mno.

Nilishasema huko nyuma kwamba anguko la huyu bwna haliko mbali! Na huu ndo mwanzo wa kuelekea shimbo

Nyimbo za hovyo maudhui ya hovyo hazifai kusikiliza na watoto wala wazazi Mara 100 nisikilize rhumba kuliko uchafu wako Mara sijui vumbi, kanyaga sijui midude gani hueleweki!

Unatuharibia mziki wetu! Tunataka pure bongo fleva na sio uharo unaotoa hovyo sana huyu Jamaa siku hizi
[emoji12]
 
Ukweli ni kuwa mziki wetu wa Bongo flava umeshuka kwa kias kikubwa sana,Na hata Diamond mwenyew ukimwuliza atakujibu na kukupa sababu,Diamond saiv ana tumia nguvu nyingi kuurudisha mziki wetu kwenye raman ili uwe kama miaka 4 nyuma lakin naona imekuwa ngumu,Usiseme Diamond kashuka kimzik,sema mziki wetu umeshuka,Soko letu limebaki ni kenya tu,Watanzania uki wambia mziki wetu umeshuka na wakat wanaona msanii akitoa video ndan ya muda mfup ana views 1M hawakuelew kabisa.
 
Ww ndo umeongea sasa wengine wote wafia team
Ukweli ni kuwa mziki wetu wa Bongo flava umeshuka kwa kias kikubwa sana,Na hata Diamond mwenyew ukimwuliza atakujibu na kukupa sababu,Diamond saiv ana tumia nguvu nyingi kuurudisha mziki wetu kwenye raman ili uwe kama miaka 4 nyuma lakin naona imekuwa ngumu,Usiseme Diamond kashuka kimzik,sema mziki wetu umeshuka,Soko letu limebaki ni kenya tu,Watanzania uki wambia mziki wetu umeshuka na wakat wanaona msanii akitoa video ndan ya muda mfup ana views 1M hawakuelew kabisa.
 
Ukweli ni kuwa mziki wetu wa Bongo flava umeshuka kwa kias kikubwa sana,Na hata Diamond mwenyew ukimwuliza atakujibu na kukupa sababu,Diamond saiv ana tumia nguvu nyingi kuurudisha mziki wetu kwenye raman ili uwe kama miaka 4 nyuma lakin naona imekuwa ngumu,Usiseme Diamond kashuka kimzik,sema mziki wetu umeshuka,Soko letu limebaki ni kenya tu,Watanzania uki wambia mziki wetu umeshuka na wakat wanaona msanii akitoa video ndan ya muda mfup ana views 1M hawakuelew kabisa.


Kwani zamani ulikuwaje???

4 years back walikuwa wanaenda south ku shoot video leo watu wamefanya investment tunashoot hp hp bongo kumbe hakuna maendeleo???

Changamoto sana
 
Kwani zamani ulikuwaje???
4 years back walikuwa wanaenda south ku shoot video leo watu wamefanya investment tunashoot hp hp bongo kumbe hakuna maendeleo???
Changamoto sana
Me napenda mziki wetu uende mbali bro,Ila nisikufiche,mziki wetu umeshuka na soko letu limebaki hapa hapa uswahilin na Kenya tu.
 
wamarekani wanatumia wasanii wao na mastar wao kulitangaza taifa, ila sisi tunawaponda wasanii wetu na kuwaangamiza kisaikolojia ili washuke warudi kwenye umaskini tuwe nao level moja.
mtu anaponda nyimbo za Diamondz hazina maadili halafu akitoka humu anafungua Operamini anacheki porno.

hatuwezi kutoka kwenye umaskini kwa namna hii.
 
Tangu mwaka 2017 watu walianza kuleta Nyuzi za kuanguka huyu jamaa lakini hakuanguka mpaka leo kiufupia huu ni mda wake waendelee kuvumilia tu maumivu na fujo zisizo umiza..Rhumba limekua Segere.
Point of correction, hizo nyuzi zilianza back in 2012, na kufikia 2014 ndo zikaongezeka kwa kasi sana!!!
Hiyo ni June, 2014!! Miezi sita baadae, yaani January 2015, ikaja hii:-
, mwezi mmoja baadae, yaani February 2015 akaja huyu:-
Na miezi 10 mingine baadae, yaani December 2015 ikaja hii:-
Kwahiyo hizo ramli za 2017 ni za baadae sana! In short ni ramli za watu waliopata smartphones kuanzia 2017!
 
Tangu mwaka 2017 watu walianza kuleta Nyuzi za kuanguka huyu jamaa lakini hakuanguka mpaka leo kiufupia huu ni mda wake waendelee kuvumilia tu maumivu na fujo zisizo umiza..Rhumba limekua Segere.

Halafu Nimwambie Ndugu mtoa uzi Diamond ndo msanii pekee Tanzania ameimba Nyimbo karibu za aina zote na ni msanii anayebadilisha mziki atakavyo akiimba staili flani utaona na wengine wanafuata...pia ndiye msanii anayejua kuusoma mziki na watu wanaosikiliza kwa haraka na kutoa nyimbo ambayo hata kama haina ujumbe muhimu basi utatikisika kichwa na utasuuza roho yako.

Mwisho "Hakuna kiumbe chenye roho mbaya kama maskini" kaa hapo hapo ukisubiri anguko lake
2017 hapo tuu, Kuna hadi mganga alisema jamaa mwisho wake kutamba 2013 huko, enzi za ,magazeti ya Shigongo yanatamba,

Sio hivyo tu, alipotoka na nenda kamwambie, afu baada ya muda akagombana na Chief kiumbe ambae ndo alikuwa meneja wake wa kwanza na kagombana na Bob junior raia walisema ndo mwisho wake kwani hakuna producer alikuwa anampatia kama Bob junior na kwamba kagombana na Chief kiumbe, hivyo jamaa watatumia pesa kumuangusha. Lakini leo hii huu ni mwaka wa 6 jamaa bado anakanyaga
 
Back
Top Bottom