Diamond: Manara ana mchango mkubwa kwenye mpira, tukiendekeza chuki za mtu mmoja mmoja ni kudidimiza mpira. Aiomba Serikali imfungulie

Diamond: Manara ana mchango mkubwa kwenye mpira, tukiendekeza chuki za mtu mmoja mmoja ni kudidimiza mpira. Aiomba Serikali imfungulie

Manara katengeneza sana fan base ya simba, kupitia mashabiki ndio wawekezaji wanavutika

Remember War In Dar, Do or Die, Kwa mkapa hatoki mtu...n.k. zote ni kauli zilizoanzishwa na manara Kwa target ya kuinua ari ya mashabiki Simba

Kaipa hadhi idara ya usemaji yeye na Jerry Muro. Maneno yake yalifanya hata watoto wadogo waipende na kiikubali simba na upande wa pili waongeze bidii ya kupambana na simba na hapo ndio mchango wake unaonekana.
Bahati mbaya JF hakuna dustbin.hii takataka ni ya kuchoma moto
 
Msomari ndiyo kitu gani mbona hueleweki? Mwiba hutolewa pale pale ulipoingilia,mamlaka iliyomfungia ndiyo inayoweza kumfungulia. Alipewa ushauri wa kukata rufaa akadharau,hivyo mamlaka ya juu haiwezi kuingilia shauri hilo bila kupelekewa rufaa. After all Haji Manara mwenyewe ameshaamua kuendelea na maisha mengine nyie wengine ni kama mnaleta uchochezi tu.

Hatuleti uchonganishi bali tunatekeleza theory za Einsten....Kufumbia macho mabaya ndiyo kuharibu jamii.

“The world will not be destroyed by those who do evil, but by those who watch them without doing anything.”​

 
Yeye manara Soka ndio lina mchango mkubwa kwenye maisha yake. Na sio yeye ana mchango mkubwa. Ametumia vibaya nafasi zake kwa kujinufaisha mwenyewe, kujitengenezea brand yake.

Yeye ndio kapata jina kwa sababu ya soka la tanzania na sio soka la tanzania limepata jina kwa sababu yake.. muwe na adabu na akiba ya maneno
Na kuchafua watu. Tunaaminishwa ni Tajiri hata nje ya mpira. Kwa nini anang'ang'ania mpira?.
 
Manara katengeneza sana fan base ya simba, kupitia mashabiki ndio wawekezaji wanavutika

Remember War In Dar, Do or Die, Kwa mkapa hatoki mtu...n.k. zote ni kauli zilizoanzishwa na manara Kwa target ya kuinua ari ya mashabiki Simba

Kaipa hadhi idara ya usemaji yeye na Jerry Muro. Maneno yake yalifanya hata watoto wadogo waipende na kiikubali simba na upande wa pili waongeze bidii ya kupambana na simba na hapo ndio mchango wake unaonekana.

Fan base ya SSC ipo kabla ya manara
Do or die ndio kuongeza fan base ?
 
Mwambie diamond masuala ya mpira hayaamuliwi na serikali
 
Msanii wa mziki wa kizazi kipya, Diamond Platnumz akiwa kwenye birthday party ya Manara jana usiku, alitumia sehemu kubwa ya salam zake kuongelea sakata la Manara kufungiwa na TFF kujishirikisha na mpira wa miguu Tanzania. Diamond amesema ni chuki na kuiomba Serikali ifanye jambo.

Diamond amesema ameshawahi kuongea na Manara na Haji aliomuomba Diamond kutokana na hadhi yake kwenye jamii amsaidie kuwauliza wahusika shida nini!

Diamond amedai alikuwa hajui chochote kwenye mpira ila ameufatilia kwasababu ya Manara.

Diamond: Lazima tukubali, huyu bwana kwenye mpira wa Tanzania ana nafasi kubwa, ana mchango mkubwa. Tukiendekeza chuki za mtu mmoja mmoja ikiwepo Serikali inatazama inadidimiza mpira wenyewe.

Unaangalia, yani huyu ana ubaya gani kwenye hii nchi, yaani ana baya gani haswa alilolifanya katika nchi hii, ni binadamu mbaya kiasi gani! Karia wakati mwingine chuki tu.

Alisema Diamond


Tunamuheshimu sana Mond, kwa, mchango wake katika utamaduni, uchumi, ajira, Ila, bado ni mjinga kwa, mambo mengine, nchi, taasisi haziendeshwi kwa kuangalia hisia na sura za, watu, Bali sheria na taratibu, ukizivunja, lazima, zikulambe,
Sasa huyu manara, akipewa nafasi na kusamehewa, huko mbele, mwingine akikosea, tutatumia hatua gani kumpa adhabu? Au itabidi tusubili"Mond"mwingine, amuombee msamaha!?
Pls Mond, stay the https://jamii.app/JFUserGuide out of football issues,
Stick to ur lane, bongo music.
 
Manara katengeneza sana fan base ya simba, kupitia mashabiki ndio wawekezaji wanavutika

Remember War In Dar, Do or Die, Kwa mkapa hatoki mtu...n.k. zote ni kauli zilizoanzishwa na manara Kwa target ya kuinua ari ya mashabiki Simba

Kaipa hadhi idara ya usemaji yeye na Jerry Muro. Maneno yake yalifanya hata watoto wadogo waipende na kiikubali simba na upande wa pili waongeze bidii ya kupambana na simba na hapo ndio mchango wake unaonekana.
We mkuu unashida pahala sio?
Fan base ya Simba imetengenezwa na Manara?
Mbona mnapenda kujiaibisha wazeee, usiidrag Simba kwenye mambo ya kijinga haya.

We unaamini kauli za Do or Die zilisaidia au zinasaidia chochote?
Manara si alikuwepo wakati Simba inakaa almost decade bila kombe?
Alisaidia nini?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Anadhani ye Ni nani?
Eti Manara ndio kanifanya nijue mpira, kama ni hivyo basi bado hujui Mpira.
Aliwahi toa maneno ya kishenzi kama haya kipindi Manara katimuliwa Simba wakidhani mashabiki watareact. Alivyo mjinga anashindwa kuelewa kuwa Hana influence yoyote kwenye mpira, abaki huko huko kwenye Mziki, huko ndio atayapata mang'ombe yatakayofuata kila anachoongea.
 
Msanii wa mziki wa kizazi kipya, Diamond Platnumz akiwa kwenye birthday party ya Manara jana usiku, alitumia sehemu kubwa ya salam zake kuongelea sakata la Manara kufungiwa na TFF kujishirikisha na mpira wa miguu Tanzania. Diamond amesema ni chuki na kuiomba Serikali ifanye jambo.

Diamond amesema ameshawahi kuongea na Manara na Haji aliomuomba Diamond kutokana na hadhi yake kwenye jamii amsaidie kuwauliza wahusika shida nini!

Diamond amedai alikuwa hajui chochote kwenye mpira ila ameufatilia kwasababu ya Manara.

Diamond: Lazima tukubali, huyu bwana kwenye mpira wa Tanzania ana nafasi kubwa, ana mchango mkubwa. Tukiendekeza chuki za mtu mmoja mmoja ikiwepo Serikali inatazama inadidimiza mpira wenyewe.

Unaangalia, yani huyu ana ubaya gani kwenye hii nchi, yaani ana baya gani haswa alilolifanya katika nchi hii, ni binadamu mbaya kiasi gani! Karia wakati mwingine chuki tu.

Alisema Diamond


Hawa wameendana tabia, ndo maana wanateteana
 
Amechangia kwa namna gani? Kuna uwekezaji wowote kafanya? Alishawahi kuwa mchezaji? Alishawahi kuwa kocha? Au Kupiga domo na kutukana wadau wa timu pinzani nao ni mchango?
kuna mambo yapo nje ya upeo wa ubongo wako , penda kuperuzi kabla ya kutoa maoni
 
Huyo ashura cheupe a.k.a jibwa hana mchango wowote kwenye mpira wa Tanzania amefungiwa muda wote huu kuna kipi kimepungua kwenye mpira 🤔🤔zaidi ya maneno yake ya dharau na kejeli🤔🤔 aendelee kupigwa pini hivyo hivyo
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Eti mchango [emoji1]

Hebu wekezeni,mkuze vipaji

Acheni mpira wa tintalilaaa

Ova
 
Back
Top Bottom