OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Bahati mbaya JF hakuna dustbin.hii takataka ni ya kuchoma motoManara katengeneza sana fan base ya simba, kupitia mashabiki ndio wawekezaji wanavutika
Remember War In Dar, Do or Die, Kwa mkapa hatoki mtu...n.k. zote ni kauli zilizoanzishwa na manara Kwa target ya kuinua ari ya mashabiki Simba
Kaipa hadhi idara ya usemaji yeye na Jerry Muro. Maneno yake yalifanya hata watoto wadogo waipende na kiikubali simba na upande wa pili waongeze bidii ya kupambana na simba na hapo ndio mchango wake unaonekana.
Msomari ndiyo kitu gani mbona hueleweki? Mwiba hutolewa pale pale ulipoingilia,mamlaka iliyomfungia ndiyo inayoweza kumfungulia. Alipewa ushauri wa kukata rufaa akadharau,hivyo mamlaka ya juu haiwezi kuingilia shauri hilo bila kupelekewa rufaa. After all Haji Manara mwenyewe ameshaamua kuendelea na maisha mengine nyie wengine ni kama mnaleta uchochezi tu.
Na kuchafua watu. Tunaaminishwa ni Tajiri hata nje ya mpira. Kwa nini anang'ang'ania mpira?.Yeye manara Soka ndio lina mchango mkubwa kwenye maisha yake. Na sio yeye ana mchango mkubwa. Ametumia vibaya nafasi zake kwa kujinufaisha mwenyewe, kujitengenezea brand yake.
Yeye ndio kapata jina kwa sababu ya soka la tanzania na sio soka la tanzania limepata jina kwa sababu yake.. muwe na adabu na akiba ya maneno
Manara katengeneza sana fan base ya simba, kupitia mashabiki ndio wawekezaji wanavutika
Remember War In Dar, Do or Die, Kwa mkapa hatoki mtu...n.k. zote ni kauli zilizoanzishwa na manara Kwa target ya kuinua ari ya mashabiki Simba
Kaipa hadhi idara ya usemaji yeye na Jerry Muro. Maneno yake yalifanya hata watoto wadogo waipende na kiikubali simba na upande wa pili waongeze bidii ya kupambana na simba na hapo ndio mchango wake unaonekana.
Tunamuheshimu sana Mond, kwa, mchango wake katika utamaduni, uchumi, ajira, Ila, bado ni mjinga kwa, mambo mengine, nchi, taasisi haziendeshwi kwa kuangalia hisia na sura za, watu, Bali sheria na taratibu, ukizivunja, lazima, zikulambe,Msanii wa mziki wa kizazi kipya, Diamond Platnumz akiwa kwenye birthday party ya Manara jana usiku, alitumia sehemu kubwa ya salam zake kuongelea sakata la Manara kufungiwa na TFF kujishirikisha na mpira wa miguu Tanzania. Diamond amesema ni chuki na kuiomba Serikali ifanye jambo.
Diamond amesema ameshawahi kuongea na Manara na Haji aliomuomba Diamond kutokana na hadhi yake kwenye jamii amsaidie kuwauliza wahusika shida nini!
Diamond amedai alikuwa hajui chochote kwenye mpira ila ameufatilia kwasababu ya Manara.
Diamond: Lazima tukubali, huyu bwana kwenye mpira wa Tanzania ana nafasi kubwa, ana mchango mkubwa. Tukiendekeza chuki za mtu mmoja mmoja ikiwepo Serikali inatazama inadidimiza mpira wenyewe.
Unaangalia, yani huyu ana ubaya gani kwenye hii nchi, yaani ana baya gani haswa alilolifanya katika nchi hii, ni binadamu mbaya kiasi gani! Karia wakati mwingine chuki tu.
Alisema Diamond
We mkuu unashida pahala sio?Manara katengeneza sana fan base ya simba, kupitia mashabiki ndio wawekezaji wanavutika
Remember War In Dar, Do or Die, Kwa mkapa hatoki mtu...n.k. zote ni kauli zilizoanzishwa na manara Kwa target ya kuinua ari ya mashabiki Simba
Kaipa hadhi idara ya usemaji yeye na Jerry Muro. Maneno yake yalifanya hata watoto wadogo waipende na kiikubali simba na upande wa pili waongeze bidii ya kupambana na simba na hapo ndio mchango wake unaonekana.
Hawa wameendana tabia, ndo maana wanateteanaMsanii wa mziki wa kizazi kipya, Diamond Platnumz akiwa kwenye birthday party ya Manara jana usiku, alitumia sehemu kubwa ya salam zake kuongelea sakata la Manara kufungiwa na TFF kujishirikisha na mpira wa miguu Tanzania. Diamond amesema ni chuki na kuiomba Serikali ifanye jambo.
Diamond amesema ameshawahi kuongea na Manara na Haji aliomuomba Diamond kutokana na hadhi yake kwenye jamii amsaidie kuwauliza wahusika shida nini!
Diamond amedai alikuwa hajui chochote kwenye mpira ila ameufatilia kwasababu ya Manara.
Diamond: Lazima tukubali, huyu bwana kwenye mpira wa Tanzania ana nafasi kubwa, ana mchango mkubwa. Tukiendekeza chuki za mtu mmoja mmoja ikiwepo Serikali inatazama inadidimiza mpira wenyewe.
Unaangalia, yani huyu ana ubaya gani kwenye hii nchi, yaani ana baya gani haswa alilolifanya katika nchi hii, ni binadamu mbaya kiasi gani! Karia wakati mwingine chuki tu.
Alisema Diamond
Ujinga nao ni kipaji!Ni kelele kwani huo ukweli ulitakiwa kuelezwa kwenye rufaa,upumbavu tu unawasumbua. Haya tuone huo ukweli kama utamnasua.
kuna mambo yapo nje ya upeo wa ubongo wako , penda kuperuzi kabla ya kutoa maoniAmechangia kwa namna gani? Kuna uwekezaji wowote kafanya? Alishawahi kuwa mchezaji? Alishawahi kuwa kocha? Au Kupiga domo na kutukana wadau wa timu pinzani nao ni mchango?
Mkuu teja tena? Tangu lini diamond kawa teja au unamzungumzia diamond yupi?Ukishakuwa teja akili huwa zinakuja na kurudi