Mayor of kingstown
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,898
- 4,156
Ila nazani umeelewa.kujifanya unajua napo sio shida...bora yako ulio soma "HGK" [emoji23] [emoji23] mie kiswahili kimenipita kushotoKama Kuandika kiswahili kunakushinda, "Hamtaki" unaandika "amtaki" utaweza kweli kudadavua mambo makubwa na athari zake katika nchi.
Rudi shule ndio uje kuongelea mambo makubwa zaidi ya uwezo wako wa akili yako.
HGK hawafundishi kuandika. Kuandika kiswahili ulijifunza toka chekechea hadi form 4.Ila nazani umeelewa.kujifanya unajua napo sio shida...bora yako ulio soma "HGK" [emoji23] [emoji23] mie kiswahili kimenipita kushoto
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
YouTube ni vigumu. Wataweka content under 18+YouTube wakifungia hiyo video ndio itakua pigo kwa Diamond kwasababu uko ndipo anapopatia pesa.
Kupiga nyimbo redioni au tv sidhani kama kunamuingizia pesa.
You well said,yani BASATA IMEHARIBU AKILI ZA WATU SANAA,SASA KAMA HII NI MBAYA JEE HIZO ZA WAMAREKANI NA WALATIN WATASEMAJE NA ZINAPIGWAAA,UJINGA NI HAO WANAOREPORT KWA CHUKI ZAOAchen wivu iyo ngoma sija ona tatzo lolote tatzo mlivyo na chuki una kuna mtanzania mwenyewe ndo yuko bussy kui report ngoma ifungiwe nd ujue wa bongo mlivyo ma boyaaa.......nyimbo ngapi za nje zina pigwa Tz na video ni vile vile kama amtaki kuangalia fumbeni machoooo [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] POVU LANGU LA LEO
Kama Kuandika kiswahili kunakushinda, "Hamtaki" unaandika "amtaki" utaweza kweli kudadavua mambo makubwa na athari zake katika nchi.
Rudi shule ndio uje kuongelea mambo makubwa zaidi ya uwezo wako wa akili yako.
Ndugu yangu acha kuonesha ujinga wako. USA hufanya Rating na labelingi za content za wasanii sio mpaka wafungie. Kwa mfano movies zinakuwa Rated na Motion Picture Association of Americaa wanatumia G, PG , PG 13, R, na NC 17.Punguza ujinga weweee,huko marekani na LATIN wanapiga utupu kabisaa na hawajafungi.UJINGA WENU BASATA WAMEGUNGIA VITU KWA BILA KUWAPA SABABU,MNAJIONGEZA WENYEWE.basi mnazid kua mazezeta mkichanganya na chuki basi ndo wehu kabisa
Anadandia nyuma kwa mbele angalia asipotee anadhan kutoboa Kimataifa ndio kumaliza kila kitu P square wapo wapi Wasanii maarufu waliotamba kama kina Iyanya, J Martin yangu macho sio kwa ubaya cha msingi aangalie kipi bora na chenye mhimili kwa game yakeNaomba Nikushauri kwa kutumia mfano wa wasanii Wakubwa maana ndyo Role model wako.
Mwaka 2008 had 2012, Lil Wayne alikuwa miongini mwa wasanii wanaotamba katika mziki wa dunia. Mwaka 2008 alipata Grammy, mtv , BET za kutosha kutokana na albam yake the carter 3 ambayo iliuza zaidi ya kopi milliin ndani ya wiki ya kwanza.
Baada ya apo aliendelea kutoa hit songs ambazo zilitamba billboards, Had 2012.
Lil Wayne aliendelea kutoa albums na mixtapes ambazo zilipata negative responses kutoka kwa mashabiki wake. Hii ni kwa sababu ya Explicit contents zilizokuwa kwenye Audio na Video ya miziki yake. Tv na Radio mbali mbali zilishindwa kucheza miziki yake sababu ya izo Explicit contents.
Amekuwa akitoa album na miziki mingi lakini imekuwa taged under explicit contents.
Explicty contents sio images tu za matus. Hata maneno pia.
Drake naye ni msanii aliyeanza kuhit kuanzia miaka ya 2012. Mwanzoni sikuvutiwa na style ya drake ya kurap sababu ilikuwa amecopy ya Lil wayne. Mpaka hivi leo ukimsikiliza Drake akiimba unaweza sema ni Lil Wayne. Ila cha kushangaza huyu drake leo anahit kumzidi Lil wayne alyemkocopy style ya kuimba.
Hii ni kwa sababu nyimbo na video za drake haziwi taged under PAL ( Parental Advisory Label) sababu hakuna explicit contents kwahyo nyimbo na album za drake huweza pigwa katika radio na television zote duniani kuliko za lil wayne.
Sasa narudi kwa diamond mdogo wangu.
Kwa haka katabia unakotaka kuanzisha. Katakutoa kwenye game vibya sanaa. Utakuwa unatoa hit songs kila siku lakini Anashangaa awards wanapewa wengine.
Angalia usijekuwa kama Lil Wayne. 2012 anatoa nyimbo na album nyingi lakini azihit ingawa ni hit songs.
Unafaa kuwa mwalimuKama Kuandika kiswahili kunakushinda, "Hamtaki" unaandika "amtaki" utaweza kweli kudadavua mambo makubwa na athari zake katika nchi.
Rudi shule ndio uje kuongelea mambo makubwa zaidi ya uwezo wako wa akili yako.
Mama mkurya wewe unazunguka!Good morning. Asipoelewa basi tena
Hahahaa. Kwema my dear. Leo weekend ni mwendo wa kuzungukia majukwaa tuMama mkurya wewe unazunguka!
Kwema lkn?