Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Mwingine mrudie joketiHahaha na mwengine atasema mrudie penny
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwingine mrudie joketiHahaha na mwengine atasema mrudie penny
Na mwingine atasema amrudie aliyekua anaishi nae kwa mtogoleMwingine mrudie joketi
acha zake wewe mademu wangapi umewahi kuwa nao na hukuwaoaKwa ambao walikuwa hawafahamu ni kwamba Diamond platnum na hawa waliwahi kuwa wapenzi hapo nyuma ...,, kipindi hicho ndo diamond anatokatoka kimziki nyimbo ya ntarejea ni kama walijitabiria haya tunayoyashuhudia sasa, kwamba hawa amejitumbukiza kwenye ulevi uliokithiri na huku diamond akizidi kujiimarisha kiuchumi huku akiwa amekolea kimapenzi na mama watoto wake zarina hassan a.k.a zarithebosslady.
Ikumbukwe diamond alipopata mafanikio na kuwa maarufu zaidi
Wanawake wa mjini walianza kumtolea macho na kuanza kujitongozesha na diamond akaingia king , huku akimsahau mpenzi alieanza nae ambapo hakuwa na kitu ,
kwa stress na hali iliyomtokea HAWA ikambidi afanye maamuzi ya gafla ya kuingia katika ndoa ili angalau apoze machungu ya kukimbiwa na bwana ake aliyempenda kwa dhati' hali iliendelea kuwa mbaya kwa hawa kwa kushindwa kuzuia hisia zake kwa diamond platinumz na kujitumbukiza kwenye ulevi ili apoteze mawazo, bwana nae aliekuwa nae akashindwa kuvumilia na wakawa wameachana huku akiwa amemuachia mtoto mmoja...
Ushauri wangu kwa diamond:
Najua kwa sasa itakuwa ngumu kumrudia hawa ki mapenzi lakini ningeomba japo ki urafiki, mtoe shimoni mwenzio ,hana nguvu za kutoka katika shimo hilo bila ya wewe na kwa kusisitiza zaidi mrudie kwa track ya NIMEREJEA
Naamini itavuta mashabiki wengi wa nyimbo zako pendwa na pia itakuingizia mkwanja mrefu tu na huku ukiwa umetoa msaada kwa mpenzi wako wa zamani .
NI MAWAZO YANGU JAMANI
Mwenye kuongezea na aongeze....
Hapo chachaNa mwingine atasema amrudie aliyekua anaishi nae kwa mtogole
Niliangalia ile interview ya Shilawadu na Hawa. Kuna sehemu Mama Mdogo wa Hawa alisema kuwa, Diamond aliamini kuwa mtoto wa Hawa ni wake na kuanza matunzo.Kwa ambao walikuwa hawafahamu ni kwamba Diamond platnum na hawa waliwahi kuwa wapenzi hapo nyuma ...,, kipindi hicho ndo diamond anatokatoka kimziki nyimbo ya ntarejea ni kama walijitabiria haya tunayoyashuhudia sasa, kwamba hawa amejitumbukiza kwenye ulevi uliokithiri na huku diamond akizidi kujiimarisha kiuchumi huku akiwa amekolea kimapenzi na mama watoto wake zarina hassan a.k.a zarithebosslady.
Ikumbukwe diamond alipopata mafanikio na kuwa maarufu zaidi
Wanawake wa mjini walianza kumtolea macho na kuanza kujitongozesha na diamond akaingia king , huku akimsahau mpenzi alieanza nae ambapo hakuwa na kitu ,
kwa stress na hali iliyomtokea HAWA ikambidi afanye maamuzi ya gafla ya kuingia katika ndoa ili angalau apoze machungu ya kukimbiwa na bwana ake aliyempenda kwa dhati' hali iliendelea kuwa mbaya kwa hawa kwa kushindwa kuzuia hisia zake kwa diamond platinumz na kujitumbukiza kwenye ulevi ili apoteze mawazo, bwana nae aliekuwa nae akashindwa kuvumilia na wakawa wameachana huku akiwa amemuachia mtoto mmoja...
Ushauri wangu kwa diamond:
Najua kwa sasa itakuwa ngumu kumrudia hawa ki mapenzi lakini ningeomba japo ki urafiki, mtoe shimoni mwenzio ,hana nguvu za kutoka katika shimo hilo bila ya wewe na kwa kusisitiza zaidi mrudie kwa track ya NIMEREJEA
Naamini itavuta mashabiki wengi wa nyimbo zako pendwa na pia itakuingizia mkwanja mrefu tu na huku ukiwa umetoa msaada kwa mpenzi wako wa zamani .
NI MAWAZO YANGU JAMANI
Mwenye kuongezea na aongeze....
Mmmh!!!Niliangalia ile interview ya Shilawadu na Hawa. Kuna sehemu Mama Mdogo wa Hawa alisema kuwa, Diamond aliamini kuwa mtoto wa Hawa ni wake na kuanza matunzo.
Mama yake Diamond alikuwa akienda kwa kina Hawa kupeleka nguo za mtoto.
Hawa aliitamkia familia ya Diamond kuwa mtoto siyo wao na kumtaja baba yake. Hapo Diamond aliishiwa nguvu na kuachana naye moja kwa moja.
Katika hali ya kawaida ipo wazi kuwa Hawa hakuwa mwaminifu katika penzi lao ndio maana akabeba ujauzito wa mtu mwingine angali akiwa na Diamond.
Gentermycine njoo huku ufafanue juu ya andiko lako la kusamehe 7 X 70.
Diamond mwenyewe alithibitisha hilo mkuu,, we ingia YouTube utajioneaemu toeni ushahidi yakinifu juu ya hilo penzi....picha za mahaba....hata zile za kukwichi ili angalau wengne tuamini labda.....tutaamini vipi kwa maneno mkuu....