Diamond: Msimamo wangu wa kujenga msikiti bado uko pale pale!

Diamond: Msimamo wangu wa kujenga msikiti bado uko pale pale!

Angejenga shule hata ya ufundi tu ingesaidia vijana wenzake ambao wanalegeza suruali na wanabana pua ila ndio hawatoki...wapate hata ufundi wa pikipiki tu uwasaidie kuanzisha maisha yasiyo tegemezi na yasiyo ya kuiga

Unajua hawa wenzetu wana msemo wanadai dini kwanza mambo mengine baadaye, alafu baadaye wanalalamikia kwamba kuna mfumo kr...to unawafanya wasipate opportunities
 
hapo nilipo-bold ndipo imani za dini nyingine zinatofautiana kwa mbali sanaaa na iman ya dini ya diamond.

Kwa kina diamond wanasema duniani kuna elimu za aina mbili
1- elim akhera
2-elimu dunia

na katika elimu zooote hizo mbili hiyoooo ya kwanza ndio inatakiwa ichukuwe asilimia mpaka 95 ya maisha ya mwanadamu...na elimu hiyo ndio inayotaka mtoto aende madrassat wakati wengine wanaenda nasariskul unamtaka akitoka shule ya kata aende masjid wakati wenzie wanaenda twishen na kujibu homework za jana..

inamtaka aki-feli la saba au form 4 aende kuwa mwalimu wa madrasa wakati wengine wanaenda private skul na kujiunga na vyuo vya ufundi stadi...

inamtaka kwa siku aende msikitini kuswali mara 5 na minimum time spend in swala ni 1hr which means atumie 5 hrs daily kuswali wakati wenzake wana-mwomba mungu wao kwa hardly 20mins na ni asubuhi na usiku kabla ya kulala.

Inamtaka akienda swallat jumuiya hiyo ijumaa asikilize mawaidha then waandamane wakati wenzao wakitoka kwenye ibada fasta wanawahi kufanya kazi...

pia inawataka waki-fel mtihani hata wa dini yao waandamane wamtoe mama ndalichako as if ukipata a- ya dini unakwenda chuo kikuu kosomea dini wakati hakuna course ya bachellor degree in dini yako.

Do the math-son as soon the math will solve their own problems coz they have now started to grow up and acts like adults
tap! Tap! Tap! Tap!
 
Mswahili bwana eti msikiti badala ya shule ili ndugu zetu nao wafute ujinga waache kuandamana kila kukicha
 
Hivi nyie makaf**********ir mnafikiri kua shule mnazo ringia zimewasidia. Elimu bado haijamkomboa mtz hiv. Unajua kua hii elimu ya chuo kikuu tz ni janga la taifa huoni kua mfumo huu ni mbovu
Wapo vilaza wengi wamemaliza vyoo vyenu hivi tatktak
Huoni kua ufisadi umeingia. Ktk mishipa ya damu mt
Elimu ya madras ni elimu ya kuujua uisilamu wa mtu toka utotoni
hivi nyinyi tunawaingilia na shuele zenu za jpili
Acheni dharau nynyi
 
Mmmmh jamani hadi matumizi ya mtu pia ni debate???????

Hebu kuweni na busara kidogo bhana.......anatumia pesa yake kwa matakwa yake!!!!!

Au mlitaka ajenge danguro la mchana ndo mfurahi......

Mbona wote mmekazania kujenga msikiti .....kujengaaa msikiti.....

Wangapi kati yetu tumewajengea mama zetu nyumba bora za kuishi??????
Mbona kwa hili hamumpongezi ilhali wengi humu tumemzidi umri?????
 
Pwi pwi pwi eti poromota anabip naamua kumpigia bila aibu anajisifu.....naona kama kawa kama dawa mwenyeweeee umewahi kazini, endeleza promo mpumuliwaji kisogo
 
Msikiti kwa hela ya kuimba? Sijui, allahu yaalam. Bt i doubt
 
unajua hawa wenzetu wana msemo wanadai dini kwanza mambo mengine baadaye, alafu baadaye wanalalamikia kwamba kuna mfumo kr...to unawafanya wasipate opportunities
kwa taarifa yako kwetu elimu ndo mwanzo. Mana hata mtume wahy wake wa mwanzo aloshushiwa ilikua ni kusoma. Iqraa, maana yake soma. Na kwetu ss mcha mungu mwenye elimu ni bora zaidi kuliko aso elimu. Usije ukafkiri hii elimu mmeanza nayo nyinyi, ooyyyooooooo
 
shule ni lazima iwe kuanzia primary(1 mpaka la 7)?......... Au secondary form 1 mpaka 4.... Kuna shule za awali na kuendelea hata sebule yako inatosha kusomeshea......

Watoto wengi wa kiislam si wote... Ukichukua takwimu hawajaenda shule za awali ..... Ukiangalia walikuwa wanaenda madrasa tu...unategemea nn akienda shulevhaelewi kitu... Mfano hai ninao tena hapa hapa mtaani kwetu
mhu. Mna kasumba za ajabu nyinyi sijapata kuona. Sijui una ushahidi gani juu ya hilo. Mana wa kwetu wansoma shule, madrassa na tuition. Na wakiwepo home usiku ni revision ya kazi zao za shule. Acha dharau wewe, na chuki za kijinga.
 
Badala ya kujenga shule ambayo jamiii yote Inufaike unajenga msikiti....jamiii unaibagua....bado tunaendelea na ujinga uleule
 
attachment.php

Duh!kusoma hujui hata picha huoni?
 
That's good idea bro diamond ana akili sema watu wengi wanawivu nae sijui kwa sababu walukuwa wanauza nae ice cream?hzo zote ni juhudi zake jaman fanyeni yenu na nyie muonewe wivu !

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Diamond angejitahidi akumbukwe na watanzania wote na watu mbalimbali.Na itakuwa heshima yake pia kwa mashabiki wake bila kujali dini zao.Pesa hiyo imetoka kwa watu mbalimbali wenye dini tofauti na wisio na dini.KIJANA WAZO LAKO NI ZURI, ILA TAFAKARI KWANZA.
My take:Angalia usije ukakumbwa na janga tulonalo.Tz yetu sasa hivi ina doa la udini, so take care hata mashabiki wasije wakabaki WAISLAM.
Yangu ni hayo .
 
Ikiwa imepita mda sasa tangu alipogusia swala la kujenga msikiti, ambao utakuwa kumbukumbu yake kwa watakaoutumia, na ikiwa ni
njia moja wapo ya kurudisha katika jamii, Diamond amesema msimamo wake bado uko palepale.

"Sasa hivi mimi nina maeneo yangu, kwasababu ninapokuwa na hela mi nakuwa muoga sana kuwekeza najitahidi sana kununua nunua viwanja au kama hivi vijumba vidogo vidogo vya kuvunja maeneo tofauti tofauti.

Sasa hivi niko plani kwamba niujengee sehem gani, nitengeneze msikiti sehemu ambayo itakua ni nzuri,msikiti ambao hata kesho na kesho kutwa mi nikifa, mababu vizazi na vizazi viwe wanaswali pale kama msikiti ambao aliutengeneza kijana wetu Diamond.Watu wanaswalia, mi naamini itanipa baraka kubwa sana, na soon too naimani mwenyezi Mungu naimani atanisaidia, nitangeneza huo msikiti" amesema Diamond licha ya kuwa na plani ya kujenga mskiti huo.

Iliripotiwa kuwa kwa sasa ameshakamilisha ujenzi wa nyumba ya mama yake mzazi iliyogharimu zaidi ya shilingi za kitanzania milioni 260..

apunguze zinaa.zinaa zimeuwa wengi
 
That's good idea bro diamond ana akili sema watu wengi wanawivu nae sijui kwa sababu walukuwa wanauza nae ice cream?hzo zote ni juhudi zake jaman fanyeni yenu na nyie muonewe wivu !

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
aendelee kujituma atafanikiwa zaidi
 
Huo Msikiti nasikia atakae uzindua ni mzee mzima Lowassa! Keep it up Diamond
 
Back
Top Bottom